Shabiki maarufu wa man united afariki

Shabiki maarufu wa man united afariki

Mkombozi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2008
Posts
844
Reaction score
477
Kuna tetes kua Osama Ole Laden alikua mshabiki mkubwa wa Man United ali maarufu Mashetani wa Kijani (gamba).Alisema wakati wa fainali ya Uefa Maniu itashinda ila sasa hayupo.Kwa niamba ya JF tunawapa pole Maniu kwa kumpoteza shabiki yao mkubwa na anayezidi umaarufu wa babu wa loliondo kwa sasa
 
Yule mi nitamani ningetia mkononi mwangu bila shaka hata huo utabiri ningemwuliza nani amemwambia atabiri. Kwnn asijitabirie kufa kwake. Shenzi sanaaa!!
 
Tatizo ni ubishi wake wezie walishtukia mapema wakajivua gamba ila yy akawa mbishi!!
 
Kuna tetes kua Osama Ole Laden alikua mshabiki mkubwa wa Man United ali maarufu Mashetani wa Kijani (gamba).Alisema wakati wa fainali ya Uefa Maniu itashinda ila sasa hayupo.Kwa niamba ya JF tunawapa pole Maniu kwa kumpoteza shabiki yao mkubwa na anayezidi umaarufu wa babu wa loliondo kwa sasa.
kwenye red.
 
Back
Top Bottom