Shabibiy: Nilinunua basi langu la kwanza nikiwa na miaka 19. Asema mafanikio yake siyo ya kurithi

Una miaka 50+, una mke na watoto..,bado una uwezo wa kuvinjari jamiiforum.., wewe ni tajiri haswa..,kwa mtu hoehae katika miaka hiyo uliyonayo anakuwa katika mapambano akiangaika Ili apate angalau mlo wa familia,Wala mambo ya jamiiforums hawezi kuyafikiria,

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Aisee! Kwahio Hawa wenye 50+ humu JF wote ni matajiri!
 
Alianza utafutaji akiwa na miaka mingapi mpaka kufikisha umri wa miaka 19 na kazi gani kwa bidii hiyo ya kumpatia pesa ya kununua bus kubwa la abiria? Labda kama alikuwa anajihusisha na illegal businesses na ndago/uchawi. Asitufanye wajinga vijana wa sasa maakibuyu....
 
Ni matajiri wachache sana wanaotoa siri zao ila kabla ya kusema siri zao huanza na kauli hii

"Mdogo wangu usione watu hapa mjini wanapendeza na kuendesha. Watu wanatumia mbinu zote kupata hela. Yan mbinu zipo nyingi na kila mtu ana mbonu yake. Usione watu hawaowi. Ni mashart ya watu. Usione mbona mtu hasaidii familia yake ni mashari. Sijui unanielewaaaa.........."
"mdogo wangu ka na watu vizuri utafanikiwa we kwa hiyo biashara yako nikikupeleka mahaliii mwez tu ushabadilika"
 
Alisoma forest hill , Moro kipindi hicho ni shule ya ki Shua sana
Ok, alimaliza form four akiwa na umri gani? Which is ain't less than 15 years old by minimum aproximation. Enhe kwa miaka 4 kwa biashara hizi hizi halali amiliki bus la abiria?!! Hahaha
 
Tajiri hawezi kukwambia ukweli alivyopata mali nyingi kwa muda mfupi, akikwambia ukweli huwezi kufanya anachofanya ili uwe tajiri.

Kwa hiyo upo hivyo ulivyo kwa sababu huwezi kuwa tajiri na huuwezi utajiri, na vivyo hivyo tajiri ni tajiri kwa sababu anauweza utajiri.
 
Back
Top Bottom