Sh. 2000/=

Dawa ni kumchunia au kumuuliza: wewe umenipa kiasi gani? Kama anaona buku mbili michosho kwanini abomu au ni yale yale ya watawala wa kiswahili kuita wafadhili wakoloni wanapopinga nao?
Pata picha:

Mtu anakuomba hela ya bia au soda, unampatia Tsh 2000/=

Alafu huyo huyo uliyempa hela anakwambia "Yaani unanipa elfu mbili?? dharau hiyo!"

Wewe unasemaje hapo?

hapo hajakwambia umpe hela ya kiasi gani!
 
Kuna mmoja katoa lake kali kasema kama ni huyo nitamjibu hivi, "Kama Mungu kakupa sh. 50, utasema hii ni dharau??"
 
Pata picha:

Mtu anakuomba hela ya bia au soda, unampatia Tsh 2000/=

Alafu huyo huyo uliyempa hela anakwambia "Yaani unanipa elfu mbili?? dharau hiyo!"

Wewe unasemaje hapo?

hapo hajakwambia umpe hela ya kiasi gani!

wewe muulize "ulikuwa nayo hiyo 2000?"
 
simple nitamwambia hebu nipe hiyo elfu 2,000 nikupe kumi.......akifanya kosa la kunirudishia buku mbili ameumia......simpi senti tanoooo
 
Mna nini? Mbona hamsaidiani? (As-Saaffaat: 25)
Mwenye kusaidia msaada mwema ana fungu lake katika hayo, na mwenye kusaidia msaada mwovu naye ana sehemu yake katika hayo. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza na ujuzi juu ya kila kitu. (An-Nisaa: 85)

...........................Na saidianeni katika wema na uchamngu. Wala msisaidiane katika dhambi na uadui. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu. (Al-Maaida: 2)
 
Pata picha:

Mtu anakuomba hela ya bia au soda, unampatia Tsh 2000/=

Alafu huyo huyo uliyempa hela anakwambia "Yaani unanipa elfu mbili?? dharau hiyo!"

Wewe unasemaje hapo?

hapo hajakwambia umpe hela ya kiasi gani!
Mkuu Mopao buku 2 kitu gani bana? Hiyo si ni bia moja tu? Mzuka ndio kwanza unaanza hapo, hahaha!
 
Mkuu Mopao buku 2 kitu gani bana? Hiyo si ni bia moja tu? Mzuka ndio kwanza unaanza hapo, hahaha!

Mkuu Mihambo...we ukinipa hata shilingi 2 tu nitashukuru sana, hapo wewe utajisikia ahueni moyoni mwako kuliko mimi kukukwaza wewe hata bila shukrani, bia moja tu itanitosha tu kwa msaada kama nataka kuongeza lingine nitaongeza kwa hela yangu hahahahaha!
 
ugonjwa usababishwao na 'mean virus'! kaazi kwel kwel, acheni ubahili!

Wewe una shilingi elf 3, na mimi nina shilingi elf 3, nimekupa elf 2 ukanunue bia nimebakiwa na buku inisaidie mimi kwa mambo mengine....nani bahili hapo? Bahili ni yule ambaye hataki hata hela yake itumike kabisa!
 
Unatumia bia gani mkuu? Unaweza kuagiza kabisa, mimi niko huku Mtwara tunajipongeza kwa ushindi wa gesi.
 
Unatumia bia gani mkuu? Unaweza kuagiza kabisa, mimi niko huku Mtwara tunajipongeza kwa ushindi wa gesi.

Ha ha ha ha ha ha mi natumia Castle Lite mkuu, bia 2 zitanitosha mkuu, nipo hapa kwenye fukwe za Mtwara huku....
 
hapo ni kumpoka tu hata hiyo buku 2 akose kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…