SGR war: Who's winning Congo between Rwandese and Kenyan SGR? Nani ni nani?

Photo: New Times

(file photo).
By Emmanuel Ntirenganya
Rwanda and Tanzania are weighing up the option of extending the proposed joint standard gauge railway to Rubavu at the border with DR Congo.

The development is part of the outcomes of Tuesday's meeting between the Ministers responsible for transport in Rwanda and Tanzania, officials said.
Extending the railway line to Rubavu would boost commerce between Rwanda and DR Congo.
DR Congo is increasingly becoming a strategic trading partner for Rwanda.


According to statistics from the central bank, Rwanda's informal cross-border exports are dominated trade with DR Congo.


The central bank says that Rwanda recorded an informal cross border trade surplus of $51.9 million in the first six months, up from $36.4 million in the same period last year.

Informal exports, which account for 13.6 per cent of total formal exports, are dominated by exports to DR Congo with a big share of 86.2 per cent of the total informal exports, according to the central bank's latest monetary policy and financial stability statement.

The $2.5 billon Isaka-Kigali railway is estimated to cover 571 kilometres. Extending it to Rubavu would mean stretching it by an extra 144 kilometre, which would mean more costs.

On Tuesday, Claver Gatete, the Minister for Infrastructure and his visiting Tanzanian counterpart Isaac Kamwelwe discussed the available funding options for the project.

In a joint statement, the ministers reiterated their commitment to realise the implementation of the project to reduce transport costs, foster physical integration of transport modes, and improve social services, among others.



Read the original article on New Times.
Rukavu ni bukavu??????
 
Ni kweli lakini pamoja na hivyo bado kuna mradi mkubwa sana wa barabara kati ya Congo na Zambia huo lengo lake ni kufika Dar port ujue Congo ni ligiant sana peke yetu hatuwezi kumfaidi lazima tuwe na wapambe ambao ndio kama Rwanda, Zambia cha muhimu ni bandari yetu itumike

Pale kigoma mizigo itavushwa kwa meli hata zamani ilikua hivyo na ni mzigo wa maana ulikua ukivushwa, nafikiri kuna wakandarasi wa bandari wapo site
Tanzania inatakiwa ikonekt na kigoma au kasanga port sumbawanga ili mizigo ifike kalemie port ambayo ita connect rahisi kwenda lubumbashi (mji wa pili drc) kwani ndiyo kwenye mizigo mingi hasa machimbo.uko bukavu kuna dead end connection tutapatatabu sana kwani congo kubadilika siyo leo hasa mentality zao kila behewa linaloenda lubumbashi toka kapili mposhi kurudisha hawataki ndiyo maana wazambia hawapeleki behewa lubumbadhi wanaishia kapili tu.Kwasasa wacongo ni kigoma au kasanga ndiyo best option
 
Tanzania inatakiwa ikonekt na kigoma au kasanga port sumbawanga ili mizigo ifike kalemie port ambayo ita connect rahisi kwenda lubumbashi (mji wa pili drc) kwani ndiyo kwenye mizigo mingi hasa machimbo.uko bukavu kuna dead end connection tutapatatabu sana kwani congo kubadilika siyo leo hasa mentality zao kila behewa linaloenda lubumbashi toka kapili mposhi kurudisha hawataki ndiyo maana wazambia hawapeleki behewa lubumbadhi wanaishia kapili tu.Kwasasa wacongo ni kigoma au kasanga ndiyo best option
Kwenye hayo maeneo ya mipakani ni kutengeneza dry ports ICDs kwenye nchi wanazopakana nazo sio lazima kupitisha trains moja kwa moja mpaka Congo, wawe wanatumia malori kutoka Congo mpaka kwenye hizo ICDs then mzigo unaingia kwenye train 120kph upo Dar siku moja haiishi.

So watatumia muda mfupi zaidi, wakishaona wamesogezewa reli mipakani automatically lazima watataka kutap
 
Tanzania inatakiwa ikonekt na kigoma au kasanga port sumbawanga ili mizigo ifike kalemie port ambayo ita connect rahisi kwenda lubumbashi (mji wa pili drc) kwani ndiyo kwenye mizigo mingi hasa machimbo.uko bukavu kuna dead end connection tutapatatabu sana kwani congo kubadilika siyo leo hasa mentality zao kila behewa linaloenda lubumbashi toka kapili mposhi kurudisha hawataki ndiyo maana wazambia hawapeleki behewa lubumbadhi wanaishia kapili tu.Kwasasa wacongo ni kigoma au kasanga ndiyo best option
kuna section ya kwenda Mpanda yaani mpaka Lake Tanganyika pia! acheni ujuaji huu mradi unaangalia strategy pia na kama mtu ni good analyst anaweza kuona why Isaka-Kigali route should come first! Its about offering the best alternative to clients while putting a competitor of the same clients at a disadvantage!
 
kuna section ya kwenda Mpanda yaani mpaka Lake Tanganyika pia! acheni ujuaji huu mradi unaangalia strategy pia na kama mtu ni good analyst anaweza kuona why Isaka-Kigali route should come first! Its about offering the best alternative to clients while putting a competitor of the same clients at a disadvantage!
Geza ulole ujuaji wangu nini??we umefika izo sehemu au ??mimi nimefika na hata unakosema njia ya zambia wanataka kujenga nakujua boss.from tunduma to lubumbashi ni 1150kms so they want to reduce distance not to pass through copperbelt province but luapula province (mansa) to a place called kashiba which a boarder ya maji na lubumbashi kwani kuna mto mkubwa called river luapula ,njia hii wata reduce like 600kms kuingia lubumbashi
 
Geza ulole ujuaji wangu nini??we umefika izo sehemu au ??mimi nimefika na hata unakosema njia ya zambia wanataka kujenga nakujua boss.from tunduma to lubumbashi ni 1150kms so they want to reduce distance not to pass through copperbelt province but luapula province (mansa) to a place called kashiba which a boarder ya maji na lubumbashi kwani kuna mto mkubwa called river luapula ,njia hii wata reduce like 600kms kuingia lubumbashi


Ujuaji wako ni kwamba hujui hata mipango! mnalazimishia Kigoma ambayo tayari ina reli inayofanya kazi! kwahiyo tuache fursa ya kuiunganisha Rwanda iliyo na uongozi wenye interest zaidi tuende kuibembeleza Burundi kisa Zitto kalalama!

tn_africa-dikkm-railway-map_02.jpg
 
Tanzania inatakiwa ikonekt na kigoma au kasanga port sumbawanga ili mizigo ifike kalemie port ambayo ita connect rahisi kwenda lubumbashi (mji wa pili drc) kwani ndiyo kwenye mizigo mingi hasa machimbo.uko bukavu kuna dead end connection tutapatatabu sana kwani congo kubadilika siyo leo hasa mentality zao kila behewa linaloenda lubumbashi toka kapili mposhi kurudisha hawataki ndiyo maana wazambia hawapeleki behewa lubumbadhi wanaishia kapili tu.Kwasasa wacongo ni kigoma au kasanga ndiyo best option
Kasanga port iko connected tayari na barabara mpya ya lami toka Sumbawanga mjini.
 
Kasanga port iko connected tayari na barabara mpya ya lami toka Sumbawanga mjini.
mshikaji hata hajui kisa Zitto na matango yake pori! mchina mwenyewe kagoma ku-finance Kenya's SGR 2B kuangalia kama italipa yani ina economic sense! Yaani kwa jisni Rwanda walivyo hawaelewani reli ikipita Burundi kwanza halafu iende Rwanda usahau na matumizi ya Rwanda Dar port!
 
Ujuaji wako ni kwamba hujui hata mipango! mnalazimisgia Kigoma ambayo tayari ina reli inayofanya kazi! kwahiyo tuache fursa ya kuiunganisha Rwanda iliyo na uongozi wenye interest zaidi tuende kuibembeleza Burundi kisa Zitto kalalama!

tn_africa-dikkm-railway-map_02.jpg
No silazimishi kigoma bro .ingekuwa siyo lake tanganyika tungewaunga na reli kalemie ambayo ina mtandao mpaka lubumbashi ,manyema hadi kasai province na kwa taharifa yako mzigo wa rwanda plus eastern congo haufikii mzigo walubumbashi.
 
No silazimishi kigoma bro .ingekuwa siyo lake tanganyika tungewaunga na reli kalemie ambayo ina mtandao mpaka lubumbashi ,manyema hadi kasai province na kwa taharifa yako mzigo wa rwanda plus eastern congo haufikii mzigo walubumbashi.
fedha zote kufanya hivyo kwa wakati mmoja haipo! Hicho kipande cha Mpanda ndo kitakuja mpaka ziwa Tanganyika! tena karibu zaidi na Kalemi!

Kwa ramani iliyo Burundi anapewa nafasi yake pia kujiunga akiwa tayari! tena si lazima aunganishie Keiza anaweza kwenda straight Isaka! au hata Kaliua

tn_africa-dikkm-railway-map_02.jpg
 
Kwenye hayo maeneo ya mipakani ni kutengeneza dry ports ICDs kwenye nchi wanazopakana nazo sio lazima kupitisha trains moja kwa moja mpaka Congo, wawe wanatumia malori kutoka Congo mpaka kwenye hizo ICDs then mzigo unaingia kwenye train 120kph upo Dar siku moja haiishi.

So watatumia muda mfupi zaidi, wakishaona wamesogezewa reli mipakani automatically lazima watataka kutap
Shida hatuna boarder ya land na drc just water na ndiyo big custoner
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom