thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,557
Mwanzoni ulikua una lilia picha.. sasa unataka picha za juu! Kesho utataka picha za kutoka chini ya ardhi. Hii Tz ya sasa itakupa tabu sanaWeka Picha za juu yani from a drone ama ndege kyonyesha Hio 47% SGR na kama huna Juma ni propaganda ya Serikali iliyoshindwa kazini.