SGR kwenda Rwanda kuna Busara?

PseudoDar186

Member
Mar 18, 2017
89
224
Wanajukwaa,

Nimepitia takwimu kutoka the National Bureau of Statistics (NBS) na Tanzania Ports Authority (TPA) kuhusu mizigo / shehena yanayopitia bandari za Tanzania kwenda au kutoka nchi za jirani.

Kwa mwaka 2017/18, jumla ya tani 5.6 million zilipitia Tanzania (bandari ya Dar es Salaam pekee) kwenda au kutoka nchi za jirani, ikilinganishwa na tani 4.8 million mwaka 2016/17. Hili ni ongezeko la asilimia 17.1 na ni habari njema kabisa kwa TPA na nchi yetu kwa ujumla.

Ukiangalia mchanganuo wa shehena zinazoenda au kutoka nchi za jirani, asilima 61.1% ni za Zambia (36.6%) na J.D. Kongo (24.4%). Hii ni zaidi ya tani 3.4 million ambazo kwa asilimia kubwa zinawafikia jirani zetu kupitia barabara zetu hapa Tanzania. Ukipitia takwimu za 2017/18, TAZARA imefanikiwa kusafirisha mizigo ya tani 187,558 tu (3.4% ya 5.6 million) kwa njia ya reli.

Shehena za Rwanda ni asilimia 16.5% pekee (au tani 922,134) kwa mwaka wa 2017/18. Ukilinganisha na 2016/17, kuna upungufu wa 9.0% - kitu ambacho kinaashiria kuwa mizigo ya Rwanda inawezekana kuwa inapitia Kenya na Uganda.

Kwa kutumia akili za kawaida (common sense), kuna haja ya kuwekeza reli ya SGR kuunganisha Tanzania na Zambia na J.D. Kongo kwa sababu business case (volume of cargo) ni kubwa mno (kwa mara 3.7) kuliko Rwanda. Pia, tukiweza kuondoa hata tani 2 million barabani, TANROADS watapumua kidogo na matengenezo ya kila mara yanayotokana na uharibifu wa baraba zetu. Hii ni kwa mujibu ya data za NBS na TPA wenyewe.

Naomba mwenye taarifa kuhusu ya haya maamuzi ya kupeleka SGR Rwanda atujulishe zaidi.

Nawasilisha.
 

Attachments

  • Dar Port Stats General.png
    Dar Port Stats General.png
    11 KB · Views: 2
  • By Country Total Cargo Dar Port.png
    By Country Total Cargo Dar Port.png
    14.1 KB · Views: 2
  • By Country Percentage Share.png
    By Country Percentage Share.png
    10 KB · Views: 2
  • By Country Growth Rate.png
    By Country Growth Rate.png
    9 KB · Views: 2
  • KITABU_CHA_HALI_YA_UCHUMI_WA_TAIFA_KWA_MWAKA_2018.pdf
    3 MB · Views: 2
  • KITABU CHA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2017.pdf
    3.5 MB · Views: 1
Wewe umeangalia shehena kuelekea Rwanda, Burundi Uganda, DRC ni ndogo umetumia akili yako vizuri kujiuliza kwanini ni ndogo?

Sasa kuna watu wametumia akili zao vizuri kujiuliza kwanini ni ndogo na wakapata jibu kwamba shehena ya kutosha ipo lakini inaenda Kenya sababu a, b, c ndio maana wamekuja na solution ya SGR

Ulitaka wajenge kuelekea Zambia wakati TAZARA ipo? Huwezi linganisha rail ya TAZARA na Central corridor railway, hii ya Central ni takataka
 
Meta Mada utakuwa ki desk officer kijinga kijinga cha serikali au kibaraka cha Zitto Kabwe. Wafanyabiashara wa Tanzania tunataka hiyo reli ya route ya Rwanda. Kuna fursa kibao kwa wafanyabiashara wa Tanzania kubwa mno
 
Inaweza ikatoboa mpaka Congo kwahiyo usiangalie udogo wa nchi kijiografia na kutolea maamuzi.
La hasha. Hiyo reli itakayoenda nchi nyingine kupitia Rwanda itakuwa siyo yetu tena. Sisi tutakula hizo charges za kusafirisha shehena hadi mpakani, baada ya hapo anakula Kagame. We might as well as transport 3.4 million tonnes on SGR directly rather than share it with Rwanda by bringing the SGR their way!
 
Je kutakuwa na mipango mkakati ili tija ionekane? Tatizo sio ujenzi na matumaini bali tatizo ni usimamizi na maono endelevu yenye tija kwa taifa letu kwani hata hiyo Tazara ingeliweza kutukwamua kwa kiasi kikubwa...
Wewe umeangalia shehena kuelekea Rwanda, Burundi Uganda, DRC ni ndogo umetumia akili yako vizuri kujiuliza kwanini ni ndogo?

Sasa kuna watu wametumia akili zao vizuri kujiuliza kwanini ni ndogo na wakapata jibu kwamba shehena ya kutosha ipo lakini inaenda Kenya sababu a, b, c ndio maana wamekuja na solution ya SGR

Ulitaka wajenge kuelekea Zambia wakati TAZARA ipo? Huwezi linganisha rail ya TAZARA na Central corridor railway, hii ya Central ni takataka
 
La hasha. Hiyo reli itakayoenda nchi nyingine kupitia Rwanda itakuwa siyo yetu tena. Sisi tutakula hizo charges za kusafirisha shehena hadi mpakani, baada ya hapo anakula Kagame. We might as well as transport 3.4 million tonnes on SGR directly rather than share it with Rwanda by bringing the SGR their way!
Huenda kuna secret agreement between our leaders
 
Wanajukwaa,

Nimepitia takwimu kutoka the National Bureau of Statistics (NBS) na Tanzania Ports Authority (TPA) kuhusu mizigo / shehena yanayopitia bandari za Tanzania kwenda au kutoka nchi za jirani.

Kwa mwaka 2017/18, jumla ya tani 5.6 million zilipitia Tanzania (bandari ya Dar es Salaam pekee) kwenda au kutoka nchi za jirani, ikilinganishwa na tani 4.8 million mwaka 2016/17. Hili ni ongezeko la asilimia 17.1 na ni habari njema kabisa kwa TPA na nchi yetu kwa ujumla.

Ukiangalia mchanganuo wa shehena zinazoenda au kutoka nchi za jirani, asilima 61.1% ni za Zambia (36.6%) na J.D. Kongo (24.4%). Hii ni zaidi ya tani 3.4 million ambazo kwa asilimia kubwa zinawafikia jirani zetu kupitia barabara zetu hapa Tanzania. Ukipitia takwimu za 2017/18, TAZARA imefanikiwa kusafirisha mizigo ya tani 187,558 tu (3.4% ya 5.6 million) kwa njia ya reli.

Shehena za Rwanda ni asilimia 16.5% pekee (au tani 922,134) kwa mwaka wa 2017/18. Ukilinganisha na 2016/17, kuna upungufu wa 9.0% - kitu ambacho kinaashiria kuwa mizigo ya Rwanda inawezekana kuwa inapitia Kenya na Uganda.

Kwa kutumia akili za kawaida (common sense), kuna haja ya kuwekeza reli ya SGR kuunganisha Tanzania na Zambia na J.D. Kongo kwa sababu business case (volume of cargo) ni kubwa mno (kwa mara 3.7) kuliko Rwanda. Pia, tukiweza kuondoa hata tani 2 million barabani, TANROADS watapumua kidogo na matengenezo ya kila mara yanayotokana na uharibifu wa baraba zetu. Hii ni kwa mujibu ya data za NBS na TPA wenyewe.

Naomba mwenye taarifa kuhusu ya haya maamuzi ya kupeleka SGR Rwanda atujulishe zaidi.

Nawasilisha.
Sasa unaipataje DRC Congo bila kupitia Rwanda/Burundi?
 
Meta Mada utakuwa ki desk officer kijinga kijinga cha serikali au kibaraka cha Zitto Kabwe. Wafanyabiashara wa Tanzania tunataka hiyo reli ya route ya Rwanda. Kuna fursa kibao kwa wafanyabiashara wa Tanzania kubwa mno

Hii ndio shida ya watu ambao hawajui and hawajawahi fanya biashara ya usafirishaji . Transport business is from DRC and Zambia - NOT Rwanda. Madini na shehena za mafuta yote ya Zambia and Congo tunasafirisha sisi wenye makampuni ya usafirishaji.
 
Wanajukwaa,

Nimepitia takwimu kutoka the National Bureau of Statistics (NBS) na Tanzania Ports Authority (TPA) kuhusu mizigo / shehena yanayopitia bandari za Tanzania kwenda au kutoka nchi za jirani.

Kwa mwaka 2017/18, jumla ya tani 5.6 million zilipitia Tanzania (bandari ya Dar es Salaam pekee) kwenda au kutoka nchi za jirani, ikilinganishwa na tani 4.8 million mwaka 2016/17. Hili ni ongezeko la asilimia 17.1 na ni habari njema kabisa kwa TPA na nchi yetu kwa ujumla.

Ukiangalia mchanganuo wa shehena zinazoenda au kutoka nchi za jirani, asilima 61.1% ni za Zambia (36.6%) na J.D. Kongo (24.4%). Hii ni zaidi ya tani 3.4 million ambazo kwa asilimia kubwa zinawafikia jirani zetu kupitia barabara zetu hapa Tanzania. Ukipitia takwimu za 2017/18, TAZARA imefanikiwa kusafirisha mizigo ya tani 187,558 tu (3.4% ya 5.6 million) kwa njia ya reli.

Shehena za Rwanda ni asilimia 16.5% pekee (au tani 922,134) kwa mwaka wa 2017/18. Ukilinganisha na 2016/17, kuna upungufu wa 9.0% - kitu ambacho kinaashiria kuwa mizigo ya Rwanda inawezekana kuwa inapitia Kenya na Uganda.

Kwa kutumia akili za kawaida (common sense), kuna haja ya kuwekeza reli ya SGR kuunganisha Tanzania na Zambia na J.D. Kongo kwa sababu business case (volume of cargo) ni kubwa mno (kwa mara 3.7) kuliko Rwanda. Pia, tukiweza kuondoa hata tani 2 million barabani, TANROADS watapumua kidogo na matengenezo ya kila mara yanayotokana na uharibifu wa baraba zetu. Hii ni kwa mujibu ya data za NBS na TPA wenyewe.

Naomba mwenye taarifa kuhusu ya haya maamuzi ya kupeleka SGR Rwanda atujulishe zaidi.

Nawasilisha.

Kwani huko nchini Rwanda hawakai Binadamu / Watu ambao wanahitaji Huduma? Hivi Watanzania nchi ya Rwanda, Wanyarwanda na Rais wa Rwanda wamewakoseeni nini? Hivi Rwanda ndiyo imewafanya muwe Wavivu, Lege Lege, Goi Goi, Dhaifu Dhaifu na Watu mnaochelewa Kutwa kupiga hatua Madhubuti za Kimaendelo huku mkiwekeza mno katika Majungu, Chuki, Wivu na Uswahili wenu badala ya Kujikita kuangalia kwanini kwa muda mfupi tu huu Rwanda chini ya Rais Paul Kagame inawaacheni Kimaendeleo na hata Wananchi ( Raia ) wake wanazidi kuwa na ' Fikra ' pana kuliko wengi wenu ( japo wapo baadhi wenye Akili kubwa kama za Wanyarwanda ) ila ni wa kuwatafuta sana tena kwa Tochi?
 
Kwani huko nchini Rwanda hawakai Binadamu / Watu ambao wanahitaji Huduma? Hivi Watanzania nchi ya Rwanda, Wanyarwanda na Rais wa Rwanda wamewakoseeni nini? Hivi Rwanda ndiyo imewafanya muwe Wavivu, Lege Lege, Goi Goi, Dhaifu Dhaifu na Watu mnaochelewa Kutwa kupiga hatua Madhubuti za Kimaendelo huku mkiwekeza mno katika Majungu, Chuki, Wivu na Uswahili wenu badala ya Kujikita kuangalia kwanini kwa muda mfupi tu huu Rwanda chini ya Rais Paul Kagame inawaacheni Kimaendeleo na hata Wananchi ( Raia ) wake wanazidi kuwa na ' Fikra ' pana kuliko wengi wenu ( japo wapo baadhi wenye Akili kubwa kama za Wanyarwanda ) ila ni wa kuwatafuta sana tena kwa Tochi?

Sina chochote dhidi ya nchi ya Rwanda. Naangalia data na kufanya mchanganuo. Moja, Rwanda is already in business with Uganda and Kenya. Pili, shehena za Rwanda ni tani laki 9 tu. Hatuwezi kulinganisha na laki 9 za Rwanda na tani milion 3.4 kwenda DRC na Zambia! Ni ukichaa!

Fikiria uamuzi wa kuongeza Terminal III ya Julius Nyerere International Airport. Terminal II ilikuwa imezidiwa kikomo chake cha wasafiri milioni 1.5 kwa kusafirisha zaidi ya watu million 2.4 - ilikuwa inatuumiza sana! Ni uamuzi wa busara kabisa ambao uko supported na data! Terminal III mpya ina uwezo wa kuhudumia wasafiri million 6 - kwa hiyo tutakuwa nayo kwa miaka mingi tu. It is a good investment with a solid business case.
 
Nchi yetu haijielewi yenyewe inataka shindana ma Kenya kuhusu soko la Rwanda na Uganda na kuacha Masoko makubwa ya Zambia
Zambia watanzania tupo sana kuliko kenya, Rwanda, tupo tena sana, Kongo tupo Sana kuliko kenya.Kaa mbali na wafanyabiashara watanzania mjinga wewe
 
Wewe umeangalia shehena kuelekea Rwanda, Burundi Uganda, DRC ni ndogo umetumia akili yako vizuri kujiuliza kwanini ni ndogo?

Sasa kuna watu wametumia akili zao vizuri kujiuliza kwanini ni ndogo na wakapata jibu kwamba shehena ya kutosha ipo lakini inaenda Kenya sababu a, b, c ndio maana wamekuja na solution ya SGR

Ulitaka wajenge kuelekea Zambia wakati TAZARA ipo? Huwezi linganisha rail ya TAZARA na Central corridor railway, hii ya Central ni takataka

Kwa nini tusiboreshe TAZARA kufikia kiwango cha SGR? TAZARA inasafirisha tani 187,558 tu wakati ina "potential" ya mamilioni ya tani. Mwaka 2018, Zambia walizalisha copper kiasi cha tani 861,946 (2017 tani 799,329) - halafu tunajua Zambia hawana viwanda vya kuchakata copper. Copper yote inaenda China na nchi nyingine. Je, matani yote haya yalipitia wapi? Je, si kesho kutwa tu Zambia watafikia tani milion moja, moja na nusu, mbili na kuendelea? Je, hatutaki hiyo biashara ya kusafirisha tu? The 2018 copper production hits 861,946 tonnes - Zambia Chamber of Mines

Hapo sijagusa DR Congo!
 
Back
Top Bottom