mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Unajua Shida yetu Watanzania tunasahaa Mapema. Yaani tukisha pewa vitenge, kofia, Tshirt na Vizawadi mbali mbali basi tunasahau Kashfa zote za Mafisadi. Na hapo ndipo mafisadi wanapata nafasi ya kujisafisha. Ndugu zangu wa TZ hebu tuwe tunweka kumbukumbu ile hawa mafisadi Watoweke kabisa katika nchi hii.
>>> Kwa Mfano hii leo LOWASA ameanza kusafishwa taratibu ili 2015 agombee urais hii ni AIBU sana
>>> Chenge alianza kusafishwa ili awe SPIKA wa Bunge tukamshtukia..CCM walivyoona tumejua janja yao wakajifanya kusema eti Bunge hili lazima Spika awe Mwanamke. Tumewasoma!!!! mwanamke mwenyewe mtetezi wa Mafisadi huyu MAKINDAKINDA!!!!!!!!!!!!!!!!!:tape:. Watanzania Wenzangu tusali sana maana nchi inakokwenda siko
>>> Watu wanaanza kusahau kashfa za Rostam na wengine
>>> Watu wanaanza Kusahau Mafisadi...?????????????????????
Mbona tunakuwa wepesi wa ku
>>> Kwa Mfano hii leo LOWASA ameanza kusafishwa taratibu ili 2015 agombee urais hii ni AIBU sana
>>> Chenge alianza kusafishwa ili awe SPIKA wa Bunge tukamshtukia..CCM walivyoona tumejua janja yao wakajifanya kusema eti Bunge hili lazima Spika awe Mwanamke. Tumewasoma!!!! mwanamke mwenyewe mtetezi wa Mafisadi huyu MAKINDAKINDA!!!!!!!!!!!!!!!!!:tape:. Watanzania Wenzangu tusali sana maana nchi inakokwenda siko
>>> Watu wanaanza kusahau kashfa za Rostam na wengine
>>> Watu wanaanza Kusahau Mafisadi...?????????????????????
Mbona tunakuwa wepesi wa ku