Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,259
- 4,111
Ni vyema Watanzania mkajifunza kubadili hii perspective.
Wadada wanaojiuza wanauza huduma ya sex, na wanunuzi wa hiyo service wapo; kuna shida gani hawa watu wakiwekewa mazingira rafiki.
Kuna mtu analazimishwa kununua huduma ya Sex?
Kila mtu anafanya under principal of autonomy. Ninahitaji huduma ya sex , we negotiate and agreed for the service , I pay , je shida ipo wapi?
Sex workers kupitia hizo service wana somesha watoto zao private schools , wanalipa rent na kujipatia chakula sambamba na kuendeleza familia.
Wapo Sex workers ambao wameolewa, yaani ni married na husband anajua kazi ya wife and life goes on ……
wabongo mnatakiwa kuitazama dunia kama jinsi ilivyo na sio kama unavyoidhania. The world has a lot to learn
Huwa napata hard time kuona kiongozi na mdomo wake mpana anatoa tamko hasi dhidi ya hawa watu kwa sababu tu yeye yupo kwa kiyoyozi, mbaya zaidi anatoa tamko bila hata ya kuja na alternative pamoja na kuwawezesha.
Shida kubwa Tanzania inaongozwa na failures kwenye Academic.
Wadada wanaojiuza wapewe uhuru wa kufanya kazi zao sambamba na serikali kuangalia namna ya kukusanya kodi kama ilivyokuwa kwa machinga enzi ya JPM.
Wadada wanaojiuza wanauza huduma ya sex, na wanunuzi wa hiyo service wapo; kuna shida gani hawa watu wakiwekewa mazingira rafiki.
Kuna mtu analazimishwa kununua huduma ya Sex?
Kila mtu anafanya under principal of autonomy. Ninahitaji huduma ya sex , we negotiate and agreed for the service , I pay , je shida ipo wapi?
Sex workers kupitia hizo service wana somesha watoto zao private schools , wanalipa rent na kujipatia chakula sambamba na kuendeleza familia.
Wapo Sex workers ambao wameolewa, yaani ni married na husband anajua kazi ya wife and life goes on ……
wabongo mnatakiwa kuitazama dunia kama jinsi ilivyo na sio kama unavyoidhania. The world has a lot to learn
Huwa napata hard time kuona kiongozi na mdomo wake mpana anatoa tamko hasi dhidi ya hawa watu kwa sababu tu yeye yupo kwa kiyoyozi, mbaya zaidi anatoa tamko bila hata ya kuja na alternative pamoja na kuwawezesha.
Shida kubwa Tanzania inaongozwa na failures kwenye Academic.
Wadada wanaojiuza wapewe uhuru wa kufanya kazi zao sambamba na serikali kuangalia namna ya kukusanya kodi kama ilivyokuwa kwa machinga enzi ya JPM.