Sex tourism in Kenya - Cheap Holliday!

Ndiyo! Sehemu kubwa watalii wanaofanya mambo kama haya ni maiskni au low income huko kwao, watu middle class mara nyingi ni watu wastaarabu wana familia zao na mara chache sana hufanya mambo kama hayo hata hiyo clip anasema huyo mama hapo kwamba huko Ulaya wanawake waliokosa waume hawathaminiwi tena na jamii yao huko lkn wakija Afrika (Kenya) ile rangi nyeupe inatosha kuwafanya Miungu watu na wanagombaniwa!

Hi ndio shida ya division 5... hata hujui unachoongea! Kama ni low income wanapewa sex bure? Nani kakudanganya?

Wanaochukua malaya pale ohio street usiku na magari nao ni masikini?
 
Kijana Masikini wa Kitanzania umekaa kwenye mkeka ukicheza bao hafu unasema "Nataka maisha mazuri".....Hamfanyi chochote kutangaza Utalii wetu, siku zote mnategemea Watalii Hawa mnaowasema Masikini pale wanaporudi makwao ndoa Watangaze mazuri yetu,nao hamuwataki, mnataka Matajiri sasa mtasubiri Milele!


Ni nani amekwambia kwamba tutasubiri milele? Hivi haujui kwamba idadi ya Watalii nchini mwetu imekuwa ikiongezeka siku hadi siku na hii yote bado nchi yetu ni expensive holliday destination yaani kwa maana nyingine tunachagua watalii lkn bado wanakuja wengi sana tukuanzia uwindaji vitalu vyetu vinagombaniwa, Serengeti, Ml.Kili n.k na hii ndiyo tunataka tusichotaka au niseme ninachopinga mimi binafsi ni mass tourism ambayo siku zote siyo endelevu kwani huaribu mazingira na yakishaharibika hao watalii wanakimbia na huwaoni tena na sasa kurudisha walichoharibu huchukuwa vizazi hadi vizazi, mambo haya usiyaangalie juu juu tu!
 
Huyu Barbadosa ni KAOGE .

Namfahamu vizuri hata km amejificha ndani ya ID Barbadosa
Huwezi fikiri sawasawa kama huna compression kwa rectum.


Don't take him serious.
 
Mkuu barbarosa nikama wewe hujatembea sana, niambie kama kuna nchi yeyote inayotegemea tourism ambapo hakuna illegal sex tourism.. ata hii ambayo umeiweka ni polite sana, kuna sex pests wazungu wanaovizia wasichana wadogo ama vijana, hao ndio tunapaswa kupiga marufuku, hizi zingine vitu vya kawaida tu nchi zote, wala usishangazwe.
 
Barbarosa unajitahidi kuwaelimisha watu,ila kuna watu wanajifanya hawakuelewi kwa vile tu huwa unatetea ccm na si kwamba hawakielewi unachosema.
 
Mkuu barbarosa nikama wewe hujatembea sana, niambie kama kuna nchi yeyote inayotegemea tourism ambapo hakuna illegal sex tourism.. ata hii ambayo umeiweka ni polite sana, kuna sex pests wazungu wanaovizia wasichana wadogo ama vijana, hao ndio tunapaswa kupiga marufuku, hizi zingine vitu vya kawaida tu nchi zote, wala usishangazwe.


Nimetolea Kenya kama mfano tu kwa sababu ndiyo nchi ambayo tunailewa nisingeweza kutoa mfano wa Jamaika au sijui Papua New Guinea, ila mada nzima inahusu cheap holliday destination na madhara yake kwa jamii husika, na Kenya ambayo imekuwa ikijitangaza kama cheap holliday destination kwa miaka mingi sana sasa kuna upande wa pili wa shilingi pia ambao ndiyo huwo kuna Wazungu (kipato cha chini huko kwao) wanafunga safari kuja Mombasa kwa ajili ya Sex na ma-underage huko Mombasa, Malindi na Lamu na hii ni kwa mujibu wa ripoti ya UN wanaita sex exploitation, vile vile cheap holliday destination imeharibu mazingira ya Kenya kama vile Masai Mara, siyo ile ya zamani kwa maana nchi ya Kenya imeruhusu kwa muda mrefu cheap mass tourism ...na sasa Watalii wengi wameanza kuikimbia (Masai Mara) wanataka kuja Serengeti ambayo iko intact kwa maana Serikali yetu pmj na wadau wengine wa ndani na nje ya nchi yetu wamekataa kuigeuza Serengeti, Ngorongoro hata Ml.Kili kuwa cheap holliday destination kwa ajili ya kuzilinda dhidi ya mass tourism ya watalii masikini!
 
Sex tourism huletwa na Watalii masikini, watalii matajiri mara nyingi huwa ni watu wastaarabu na ni nadra hufanya mamabo yasikokubalika kwenye jamii kama kutumia watoto wadogo na kwa sababu tu wana uwezo wa kifedha lkn watalii masikini wao hawana ustaarabu hivyo hufanya hayo mambo na hawajali!
You are very wrong! Very wrong! Nilikuomba uachane na kuiga bila kulifanyia kazi jambo hilo, labda kama unataka tu thread hii iwe hai.

Sex tourism iko dunia hii kwa sababu zingine kabisa na siyo umaskini. Historia yake ni ya tangu enzi za Spanish empire. Sasa unapoendelea kusema umaskini na utajili kama alivyosema huyo unayemwita serikali, lazima nikuone unashindwa kutimiza wajibu wako kama yeye.
 
You are very wrong! Very wrong! Nilikuomba uachane na kuiga bila kulifanyia kazi jambo hilo, labda kama unataka tu thread hii iwe hai.

Sex tourism iko dunia hii kwa sababu zingine kabisa na siyo umaskini. Historia yake ni ya tangu enzi za Spanish empire. Sasa unapoendelea kusema umaskini na utajili kama alivyosema huyo unayemwita serikali, lazima nikuone unashindwa kutimiza wajibu wako kama yeye.


Unachangia bila hata kuelewa ninachomaanisha unaelewa maana ya correlation?
 
Ndiyo maana nimeandika hapo kabla ya kujibu angalia mpaka mwisho hiyo clip halafu jaribu kuilewa maana yake, sasa unajibu tu bila hata kuelewa hata hiyo clip inahusu nini, ngoja nikuulize, ni kwa nini mambo kama hayo huku kwetu hakuna au niseme angalau siyo kwa kiwango kikubwa kama huko Kenya? Ni kwa nini hiyo filamu itengenezwe Kenya na siyo TZ?
Barbarosa, wewe umeona hiyo clip ndio una conclude kwamba hayo mambo yako zaidi Kenya kuliko hapa, lakini wengine, nikiwemo mimi, tunafahamu kwamba haya mambo yako pia hapa, hasa Zanzibar na Dar. Kwamba ni kwanini filamu hiyo itengenezwe Kenya na siyo TZ ni suala la uamuzi wa watengenezaji wenyewe kulingana na walichokusudia. Lakini jumla ya yote wewe umeharibu kujaribu kutumia clip hiyo kuunga mkono uamuzi wa Prof. Maghembe/serikali wa kuwapandishia kodi na kuwadharau hao watalii mnaowaita uchwara kwa sababu tu wakosoaji wameuona uamuzi huo unaathari kiuchumi na ni kama wa kukurupuka hivi!
 
Nimetembea sehemu kubwa ya Tanzania bara toka mwaka 2006 hadi sasa. Nimefika takribani miji mikuu ya mikoa yote isipokua Lindi, Mtwara na Rukwa. Nimefika pia miji ya wilaya nyingi karibia 2/3 ya miji ya wilaya katika mikoa niliyotembea.

Huko kote kuna biashara za ukahaba; uwe wa wazi au wa kificho. Wapo wa kujipanga barabarani, wa kukaa kwenye mahotel/geust, wapo wa kwenye vibanda vyao maalum, wapo wenye kazi mbadala kama bar-maids na wafanyakazi mahotelini, nk, nk na wote wanauza miili. Miji mingine ni pembezoni sana mwa nchi ambako hakujawahi kufika watalii wazungu (maana na mimi ni mtalii japo mswahili) lakini kote ukitaka huduma ya mwanamke utapata.

Hoja yangu hapa ndg. Barbrosa ni kuwa hicho kisingizio cha watalii masikini ni chepesi mno, tena mno katika kuongeza kodi katika utalii. Zipo faida lukuki za hao watalii maskini. Tuzichukue hizi kisha tuzibiti hayo makandokando yao. Tuwawekee mipaka tu ya namna wanavyotakiwa kutalii wakiwa hapa nchini.

Mwisho najishangaa ninavyotumia nguvu kibao kukueleza jambo kana kwamba mtabadilisha. Mnajua kila nyie. Hamkoseagi hata kidogo nyie. Ushauri wa watu wengine kwenu ni matusi. Yaani shida tupu.
 
Sasa kama mtalii akiwa maskini na bajeti uchwara atawezaje kuafford vitu kama hvyo..

Nawaza tuu
 
Barbarosa unadhani hulka ya binadamu linategemea hali yake ya kiuchumi, eti walio na pesa mara nyingi ni wastaarabu .... what nonsense??? Au unadhani mtalii awe mzungu/mjapani/ngozi jeupe?? Kazi baaado sana upande wako, dhana zako zahitaji kazi kubwaaa sana kubadilisha.

Naomba ujaribu hili: ukitaka kuwazuia hawa wageni wabovu, kila mtalii aje na ripoti ya tabia njema kutoka idara yake ya polisi nyumbani .Kumbuka ,washukiwa wa makosa za jinsia wanatangazwa magazetini katika baadhi za hizo nchi. Pamoja na kodi ya VAT zinazotozwa upya, nadhani sekta ya utalii itainuka.teh teh teh.....

Ukimtoza VAT, itabidi uitoe VAT kwenye kila input anyotumia akiwa nchini kv mafuta ya petroli nk, la sivyo itakuwa double taxation. Hapo nchi yenu itakuwa na advantage ipi??? Kenya,SA,Zimbabwe,Botswana nk wana mbuga. Itabidi waelekee nigeria likizoni. tehe teh teh.

Kama nimekusoma vizuri mnataka kuwa elitist tourist destination kama Monaco au sijui wapi..
 
Barbarosa

Kama nimekusoma vizuri mnataka kuwa elitist tourist destination kama Monaco au sijui wapi..


Ndiyo uwezo huwo tunao kwa maana mpaka sasa hivi TanZania ni moja kati ya expensive holliday destnations hapa Afrika, package ya Serengeti au Ngorongoro ni kubwa lkn bado tunapata watalii wengi tu, kupanda Ml.Kili peke yake siyo chini ya USD 600/kichwa na bado wanagombania kuja, na wale wanaoshindwa kulipa basi huvuka mpaka kwenda kupanda Ml.Kenya, kuna baadhi nawafahamu husema wacha sasa hv wakapande Ml.Kenyata halafu kwao wanaenda kutafuta hela ya kutosha ili waje kupanda Ml.Kili, na hivyo ndiyo Tanzania tuna uwezo kabisa wa kuwa exclussive expensive holliday destination kwa watalii middle class na upper class na wale wa cheap holliday package wanaweza kuja Mombasa au Malindi na kufanya sex holliday huko!

Kumbuka Serengeti shall not die, hivyo ni lazima iwepo hata mwaka 2200 huko, lkn hilo halitawezekana kama tutaruhusu cheap mass sex tourism!
 
Ndiyo uwezo huwo tunao kwa maana mpaka sasa hivi TanZania ni moja kati ya expensive holliday destnations hapa Afrika, package ya Serengeti au Ngorongoro ni kubwa lkn bado tunapata watalii wengi tu, kupanda Ml.Kili peke yake siyo chini ya USD 600/kichwa na bado wanagombania kuja, na wale wanaoshindwa kulipa basi huvuka mpaka kwenda kupanda Ml.Kenya, kuna baadhi nawafahamu husema wacha sasa hv wakapande Ml.Kenyata halafu kwao wanaenda kutafuta hela ya kutosha ili waje kupanda Ml.Kili, na hivyo ndiyo Tanzania tuna uwezo kabisa wa kuwa exclussive expensive holliday destination kwa watalii middle class na upper class na wale wa cheap holliday package wanaweza kuja Mombasa au Malindi na kufanya sex holliday huko!

Kumbuka Serengeti shall not die, hivyo ni lazima iwepo hata mwaka 2200 huko, lkn hilo halitawezekana kama tutaruhusu cheap mass sex tourism!
That's according to whom?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom