Sex Positions za Kutafuta Mtoto

Sex Positions za Kutafuta Mtoto

mkada

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
1,200
Reaction score
908
Wana JF naomba msaada weu, mimi na mke wangu tupo katika mchakato wa kutafuta mtoto wa tatu, lakini sasa toka tuanze mchakato huo tumekuwa na debate kwamba kuna style hazifai kutafutia mtoto..Mi binafsi ni mpenzi wa style za kubinjuka, yaani kabla sijacome, ni lazima niwe nimesha cheza style kama tano hivi. Shida kwa kipindi hiki ni kuwa mke wangu anasema style hizo ni za kujifurahisha tu, bali style muafaka kwa ajili ya mtoto ni kifo cha mende, yaani "me on top". Anadai style ya kifo cha mende ina afford deeper penetration na sperms zinaiingia deeper ili ku support fertilization. Hii ina maana wakati wote tunatafuta mtoto hiyo ndo style itakayokuwa inatumika. Wadau nisaidieni ni kweli style zingine za kubinjuana ambazo mke wangu anasema ni za kujifurahusha tu na hazifai kutafutia mtoto ila style ya kifo cha mende tu.?????!!!!!
 
Wana JF naomba msaada weu, mimi na mke wangu tupo katika mchakato wa kutafuta mtoto wa tatu, lakini sasa toka tuanze mchakato huo tumekuwa na debate kwamba kuna style hazifai kutafutia mtoto..Mi binafsi ni mpenzi wa style za kubinjuka, yaani kabla sijacome, ni lazima niwe nimesha cheza style kama tano hivi. Shida kwa kipindi hiki ni kuwa mke wangu anasema style hizo ni za kujifurahisha tu, bali style muafaka kwa ajili ya mtoto ni kifo cha mende, yaani "me on top". Anadai style ya kifo cha mende ina afford deeper penetration na sperms zinaiingia deeper ili ku support fertilization. Hii ina maana wakati wote tunatafuta mtoto hiyo ndo style itakayokuwa inatumika. Wadau nisaidieni ni kweli style zingine za kubinjuana ambazo mke wangu anasema ni za kujifurahusha tu na hazifai kutafutia mtoto ila style ya kifo cha mende tu.?????!!!!!

Yaani wewe unambinjua tu mkeo? Da! we noma.
 
Akibinjuka kei inarudi nyuma na mkumene unaingia sawa sawa hapo ukipiga chafya tu mzigo wa urojo unawahi kutungisha.
 
Angalia kwenye kubinjuana huko kuna kutelezeshea tigoni.
 
Hii ni official style, lakini kwenye kutotoa hata ungekuwa na mfuto kama jogoo ukimwaga tu zikagusa zinasafiri zenyewe mpaka mahali husika. Nina kisa kimoja (niliuza match), sikukusudia lakini .... distance.....kitu kikaingia wavuni!

I like mibinjuano jamani, we acha tu! Sasa kiongozi mambo gani hayo yakutupandishia maruhani yetu ya ngono wakati ndio tumefika shambani? Siku njema
 
khaaa...wewe kweli umepinda! baada ya kuzaa mtoto wa kwanza then wa pili, leo kutafuta mtoto wa tatu unatafuta ushauri humu JF!!! angalia kuna watu watakwambia wao ni mastaa wa kutungisha mimba, uwape contact za mkeo wamtafute! 😱hwell:
 
ukweli ni kwamba motto wa kwanza na wa pili hatukuwahi kupata nafasi ya kupanga kama hv leo,kwani mimba ziliingia bila hata kuwa na nafasi ya kupanga kama safari hii,mtoto wa kwanza tulishtukia tu kitu tayari,na wa pili hivyohivyo.
 
Ni single sperm tu iliyopo kwenye semens inayorutubisha yai la mwanamke...it aint matter which position you enter your mate hata mkigongana while she's on top...bado atapata mimba tu
 
Acha kutuzingua...kwani watoto wawili uliwapata kwa 'Test-tube Technique?' Au huna uhakika wa kwamba ni wewe uliyetungisha mimba mbili zilizotangulia? Mkemia Mkuu anakusubiri akutwangie DNA...
 
khaaa...wewe kweli umepinda! baada ya kuzaa mtoto wa kwanza then wa pili, leo kutafuta mtoto wa tatu unatafuta ushauri humu JF!!! angalia kuna watu watakwambia wao ni mastaa wa kutungisha mimba, uwape contact za mkeo wamtafute! 😱hwell:
Nina wasi wasi hata hao wawili wa mwanzo huenda alisaidiwa, awahi kwenye DNA. Kama ni ujuzi wake asingeanza leo kuuliza style.
 
Najua mkeo kakushauri hivyo coz na yy kafundishwa hospitalin, Doctors wanashauri zaidi kifo cha mende is preferable way of getting pregnant na wanashauri zaidi mto uwekwe chini ya kiuno cha mwanamke ili kuwe na strait penetration hasa ktk bao la kwanza ndilo lilobeba sperms nyingi zenye virutubisho. Hayo mabao mengine unaweza tumia style upendazo.Hiyo ni according to doctors.
 
mkada kitaalamu hiyo style ya kifo cha mende ndiyo yenye chance kubwa ya kutungisha mimba kama mkeo alivyokwambia na baada ya tendo hilo mkeo aweke mto chini ya kiuno chake na kulala kwa dk chache ili kuzipa sperm chance ya kusafiri kwa urahisi.
 
Mods elimisheni watu kuhusu hizi status mnazowapa; I mean verified users, etc. Sipendi kumshauri mtu chochote kwa sasa, napita tuu.
 
mbijue hadi ajambe ndio mtoto ataingia.....lituuliza ulipotafuta wa kwanza na wa pili?
 
Wana JF naomba msaada weu, mimi na mke wangu tupo katika mchakato wa kutafuta mtoto wa tatu, lakini sasa toka tuanze mchakato huo tumekuwa na debate kwamba kuna style hazifai kutafutia mtoto..Mi binafsi ni mpenzi wa style za kubinjuka, yaani kabla sijacome, ni lazima niwe nimesha cheza style kama tano hivi. Shida kwa kipindi hiki ni kuwa mke wangu anasema style hizo ni za kujifurahisha tu, bali style muafaka kwa ajili ya mtoto ni kifo cha mende, yaani "me on top". Anadai style ya kifo cha mende ina afford deeper penetration na sperms zinaiingia deeper ili ku support fertilization. Hii ina maana wakati wote tunatafuta mtoto hiyo ndo style itakayokuwa inatumika. Wadau nisaidieni ni kweli style zingine za kubinjuana ambazo mke wangu anasema ni za kujifurahusha tu na hazifai kutafutia mtoto ila style ya kifo cha mende tu.?????!!!!!

Hapo una mke, kuna ukweli usiopingika kwamba style ya kifo cha mende ni sahihi kabisa kwani licha ya deep penetration ila pia ni rahisi kuzuia mbegu kutoka kiurahisi na wakati unaendelea ukazisukuma ndani kunako home ya mtoto, style nyingine zinazuia mbegu kuwa na spidi ya kutosha hivyo zinafia njiani wakati zikikimbilia ile lulu kule mirijani........Msikilize mkeo na wakati huu ni bora ukapunguza mbwembwe na kutumia style nyepesi kwani anaweza kuipata bila kutambua ikaporomoshwa na mistaili ya push ups
 
Mtoto wa kwanza na wa pili mlipataje.? Pengine ungerudia stail hizo

Huyu kijana tayari ana majibu anakuja kuleta gumzo tu hapa..... au labda hao watoto wengine alipata msaada wa majirani!!! Kama hiyo ndio issue kuwa wazi kijana wazee tupo!!!!! 😕
 
inaonekana unampinga JK yeye anapigania apunguze kuzaliana wewe unapanga kuongeza tukueleweje mdau?
 
Back
Top Bottom