hivi hii inawezekana jamani??
mungu wangu aisee hata wanyama sidhani kama huwa wanagongwa hivi? tumezidi sisi viumbe mhmm?
vuta kumbukumbu yako au usubiri wakizaliwa utajua
Rogi ngoja nikuulize swali, hivi hujawah kuona ama kuskia binti anamimba na hamjui baba aliyehusika kumpa hiyo mimba? Je mtu kama huyu aliwaza nini?Mmh wanawake wanatakiwa kujiheshimu bana hizi thread zako sijui huwa wafikiria nn..
Rogi ngoja nikuulize swali, hivi hujawah kuona ama kuskia binti anamimba na hamjui baba aliyehusika kumpa hiyo mimba? Je mtu kama huyu aliwaza nini?
nafikir kila mtu ana jinsi alivyoumbwa na kamwe hatuwez kufanana, so yatupasa kukubaliana na kuvumiliana. ila kama umewah fuatilia vizuri thread zote alizorusha erotica huwa zinavumbua yale yaliyopo kwenye jamii katika tasnia nzima ya ngono na ambayo watu wanaogopa kuyaasema waziwazi. sema tu ni kwamba kwa mila zetu za kiafrika maswala ya ngono yanaonekana machafu sana yanapojadiliwa hadharani kama hivi. lakin si kweli kwamba hajiheshimu.
gfsonwin huwa unanikuna sana, am back to being in love with you.... :A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
mwaaaaaaah. :A S-rose: mwaaaaaaaaah. :A S-rose: mwaaaaaaaaaah:A S-rose:
Aisee hapo nilipo highlight, siku hizi anachoshwa na kungwi wako no moja gfsonwin. Mimi nilifanya naye maungamo just once, nikahisi jirani yake Elizabeth Dominic ananizidi speed!
mmmhh.. Kaunga.....apa nimevunjikaje mbavu? gfsonwin tunachoshana sana tu, mwenyewe si mnamsikia hapa anawaatarifu mfyonzo? EE Mungu nisaidie!
Ila haina maana kuwa maungamo yamesitishwa ila mnamsingizia Elizabeth Dominic
Erotica, hongera kwa MImba....Mungu anakuona na amekutembelea kama alivomtembelea Sara. sasa basi come this way upatemo maujuzi ya wakati wa mimba from gfsonwin, Kaunga atakupa maujuzi ya kitabibu namna ya kuitunza akisaidiana na MziziMkavu
Usimkaribie Asprin kama ambavyo hutakiwi kumwona Erickb52
Uwe mpole kama CUTE ili ukijifungua wawe macutie kama mapacha wa cacico.
mmmhh.. Kaunga.....apa nimevunjikaje mbavu? gfsonwin tunachoshana sana tu, mwenyewe si mnamsikia hapa anawaatarifu mfyonzo? EE Mungu nisaidie!
Ila haina maana kuwa maungamo yamesitishwa ila mnamsingizia Elizabeth Dominic
Erotica, hongera kwa MImba....Mungu anakuona na amekutembelea kama alivomtembelea Sara. sasa basi come this way upatemo maujuzi ya wakati wa mimba from gfsonwin, Kaunga atakupa maujuzi ya kitabibu namna ya kuitunza akisaidiana na MziziMkavu
Usimkaribie Asprin kama ambavyo hutakiwi kumwona Erickb52
Uwe mpole kama CUTE ili ukijifungua wawe macutie kama mapacha wa cacico.
malaya tu kafe mbele na mimba yako
Waambie wote hao kwamba unataka kufanya DNA test ili ujue nani baba, lakini mwambie kila mmoja kwa wakati wake. Make sure hakuna anayejua kuna "mwenzake". Majibu yakirudi, utamjua nani baba.
TEKELINALOKUJIA hiyo!