Tetesi: Seth wa IPTL kuishtaki Serikali ya Tanzania akitaka arejeshewe umiliki wa IPTL

Seth, aliyekuwa mmliki wa kampuni ya kufua umeme kwa jenereta almaarufu IPTL anatarajia kuishitaki Serikali ya Tanzania ili imrejeshee u miliki wa mitambo ile.

Pia, imlipe fidia ya hasara aliyoipata kwa kipindi chote ambacho mitambo yake ilizimwa na kutaifishwa.
Sethi ana haki zote za iptl, serikali itamrudishia na kumlipa fidia yote kama itakvyoamuliwa na mahakama na tutatumia pesa za tozo kumlipa. Shida iko wapi?
 
Back
Top Bottom