02 February 2023
Dar es Salaam, Tanzania
Waomba mamlaka kuigilia kati, kampuni inayosimamia huduma ya jengo la ghorofa
Kuna matatizo ya kuhudumia ghorofa lenye floor 9 ambalo watu wamenunua apartment. Lift hazifanyi kazi, Bill za umeme anayesimamia jengo hapeleki TANESCO, pia service charges za usafi ni laki tano kila mwezi ... wakaazi wameona sasa wapige kelele TRA, TANESCO na vyombo vingine viingilie kati.
Chanzo : ICON TZ TV
Dar es Salaam, Tanzania
Waomba mamlaka kuigilia kati, kampuni inayosimamia huduma ya jengo la ghorofa
Kuna matatizo ya kuhudumia ghorofa lenye floor 9 ambalo watu wamenunua apartment. Lift hazifanyi kazi, Bill za umeme anayesimamia jengo hapeleki TANESCO, pia service charges za usafi ni laki tano kila mwezi ... wakaazi wameona sasa wapige kelele TRA, TANESCO na vyombo vingine viingilie kati.
Chanzo : ICON TZ TV