Mkuu SOGHOO,Hivi service charge inatolewa baada ya muda gani?Jana nimenunua umeme wa elfu nane kutumia tigo.( Vodacom kama kawaida walikua hawatoi huduma kwa muda ule ilibidi nitumie Tigo) Nilipata unit 3.50 na zilitosha mpaka asubuhi ya leo.Ina maana walikata Tshs 6500 kama service charge. leo asubuhi nimetumia laini ya Vodacom kununua umeme. Nilinunua wa 20,000 lakini nikapewa umeme wa Tshs 16,395.00 kwa maana kwamba service charge ni zaidi ya Tshs 10,000 kwa mwezi.