mkuu ulikuwa hujui? kwamba tunalipa sh 6,500 kama service charge kwa mwezi? sasa unafikiria wakina ruge marila na singa singa watakula wapi? yaani hakuna wateja tunaokamuliwa kama watumia [luku]
Tayizo kubwa kwenye nchi yetu, watawala wameamua kutumia kile kitu kinachoitwa rule of the jungle, ambayo principle yake kubwa ni survival of the fittest.
Wakati masikini wa TZ anakamuliwa pesa hiyo ya shilingi
hapa tanesco wataibiwatu umeme mtanzania wa hali ya chini hataweza kumudu gharama hizi,sasa siku za nyuma ulikua unaweza kununua umeme wa sh 5,000 kila mwanzo wa mwezi unapata kama unit 1.6 lakini sasa hupati tena inakulazimu mtanzania wa hali ya chini ununue umeme wa sh 10,000 unapewa unit 9 sasa niambie watu wataacha kuliibia shirika?
serikali iliangalie jambo hili kwa makini waondokane na kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta, wazalishe kwa kutumia ges au makaa ya mawe, ili mwananchi apate unafuu wa umeme kama zamani embufikiria kutoka 75 kwa unit mpaka 350 kwa unit 1 uhu ni mzigo mzito anaobebeshwa mwananchi,