PamiKa
Member
- Sep 11, 2016
- 17
- 21
Wakuu
Huyu mheshimiwa mbunge wa Kigoma Kaskazini aliyebadilishana jimbo na Zitto Zuber Kabwe,tangu amalize uchaguzi Oct 25 hadi leo hajaonekana katika jimbo lake.
Mheshimiwa sijui ni nini kimekupata huko ulipo maana hata taarifa zako jimboni hakuna.
Tuambie kama ni shughuli za serikali alizokupa Magu zimekubana,umesafiri nje kutibiwa,umerudi kwa kaka yako Pierre Nkurunziza maana wewe ni wa huko hata uchaguzi alikusapoti sana kwa kukutumia mahela na ukayamwaga kweli au una chuki na jimbo lako ukaweka visasi.
Tunakuomba muheshimiwa popote ulipo angalau uje kuangalia na kusimamia baadhi ya miradi kwani madiwani wanaimaliza tusichoona kinapiga hatua.
Mheshimiwa njoo japo useme neno moja maana tumekusahau wapiga kura wako.
Huyu mheshimiwa mbunge wa Kigoma Kaskazini aliyebadilishana jimbo na Zitto Zuber Kabwe,tangu amalize uchaguzi Oct 25 hadi leo hajaonekana katika jimbo lake.
Mheshimiwa sijui ni nini kimekupata huko ulipo maana hata taarifa zako jimboni hakuna.
Tuambie kama ni shughuli za serikali alizokupa Magu zimekubana,umesafiri nje kutibiwa,umerudi kwa kaka yako Pierre Nkurunziza maana wewe ni wa huko hata uchaguzi alikusapoti sana kwa kukutumia mahela na ukayamwaga kweli au una chuki na jimbo lako ukaweka visasi.
Tunakuomba muheshimiwa popote ulipo angalau uje kuangalia na kusimamia baadhi ya miradi kwani madiwani wanaimaliza tusichoona kinapiga hatua.
Mheshimiwa njoo japo useme neno moja maana tumekusahau wapiga kura wako.