- Thread starter
- #21
kuna dada ana watoto wa 4 baba tofauti wote wamechukuliwa na babazao alitoa kizazi sasa anaishi peke yake atakufaa ni pm nikupe contacts
hanifai mkuu! Thanx
kuna dada ana watoto wa 4 baba tofauti wote wamechukuliwa na babazao alitoa kizazi sasa anaishi peke yake atakufaa ni pm nikupe contacts
Kiruka njia....
Yani umezaa nje ka mbwa....labda umpate aliyezaa kama mbwa ndo mtaendana..
Wewe unaleta wa kwako na yeye analeta wa kwake..
Du naomba niwe mimi ila ntaitaji mtt angalau mmoja siwezi kuishi bila kuzaa kama sina tatizo la ugumba
Hahah,,una maneno..
Kiruka njia....
Yani umezaa nje ka mbwa....labda umpate aliyezaa kama mbwa ndo mtaendana..
Wewe unaleta wa kwako na yeye analeta wa kwake..
Mimi hata ukiwa na mtoto mmoja nje sikuoi na nikigundua baada ya kukuoa kwenu unarudi
Shikamoooni wakubwa!eti rais wa manzese ikulu yake ipo wapi?