Serious, nataka kuoa

Serious, nataka kuoa

Ndakilawe

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
4,815
Reaction score
2,832
Nataka kuoa, nina miaka 32, natafuta mtu wa kusaidiana naye maisha. Nina watoto 4, mmoja wakiume wa 3 nilizaa nikiwa chuo tena field, huyo mwingine kazaliwa ana mwaka sasa, ila hao niliozaa nao wameolewa, ila mmoja bado, familia na mimi pia siwezi kuishi na huyu aliyebaki.

Nahitaji mwanamke serious wa kufanya maisha, asiyetaka kuzaa tena, nina elimu nzuri tu, pia nafanya kazi kampuni binafsi.

Kama upo serious inbox.
 
Nataka kuoa, actually mtu wa kusaidiane naye maisha! Nina watoto 4, wa3 nilizaa nikiwa chuo tena field, huyo mwingine kazaliwa ana mwaka sasa, ila hao niliozaa nao wameolewa, ila mmoja bado, familia na mimi pia siwezi kuishi na huyu aliyebaki!

Nahitaji mwanamke serious wa kufanya maisha, asiyetaka kuzaa tena, nina elimu nzuri tu, pia nafanya kazi kampuni binafsi.

Kama upo serious inbox....

Ngoja waje....natumai utapata mwenza ndugu...ila itafaa sana ukimpata mwalimu...wa nusery angefaa zaidi.
 
Du naomba niwe mimi ila ntaitaji mtt angalau mmoja siwezi kuishi bila kuzaa kama sina tatizo la ugumba
 
Kiruka njia....

Yani umezaa nje ka mbwa....labda umpate aliyezaa kama mbwa ndo mtaendana..

Wewe unaleta wa kwako na yeye analeta wa kwake..
 
pagumu hapo bora angekuwa mmoja..
kwanini usichukue mmoja uliyezaa nae?
 
kuna dada ana watoto wa 4 baba tofauti wote wamechukuliwa na babazao alitoa kizazi sasa anaishi peke yake atakufaa ni pm nikupe contacts
 
dah! mwanaume ukikukuruka sana basi uwe na mmoja tu.
 
sasa si useme unatafuta managing director wa kuleana??
wee kiatu uvae na halima mie univalie kandambili inahusu kweli??
 
pagumu hapo bora angekuwa mmoja..
kwanini usichukue mmoja uliyezaa nae?

kama nilivyosema mwanzo, hao wanawake wameshaolewa, isipokuwa mmoja, na huyu mmoja sijisikii furaha naye, na pia baadhi ya member wa familia hawampendi kabisa....

na kumbuka nilibahatika kpata hao watoto nikiwa chuo mwaka wa 3.. ! mama zao hawakutaka kutoa mimba kama wanawake wengine wanavyofanya!
 
dah! mwanaume ukikukuruka sana basi uwe na mmoja tu.

hakuna kuruka ruka hapo, bahati kazini! sema na mm sikuwa muumini wa kufadhili utoaji mimba, ingekuwa hivyo nlishawaua wote wakiwa tomboni mwa mama zao! siku hizi ni fashion kutoa mimba, ila mm nilisema no!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom