Serious: Natafuta mwanamke aliyenizidi umri

Serious: Natafuta mwanamke aliyenizidi umri

Johnax

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2015
Posts
256
Reaction score
940
Iam 24years old. Na sababu iliyonifanya nitafute mwanamke aliyenizidi umri ni kuwa hawa wanawake ambao ni rika langu wamekuwa hawajui kujali, kuthamini na hata hawana upendo wa kweli. Ninahitaji mwanamke mwenye miaka kuania 30 and above.

KWA ALIYETAYARI ANI-PM.

Nawasilisha jamani.
 
kipesa najiweza, wala sihitaji fedha ya mwanamke ila mm ndo hvyo nahitaji kuwa na mwanamke aliyenizid umri... ova..
 
am 24years old. Na sababu iliyonifanya nitafute mwanamke aliyenizidi umri ni kuwa hawa wanawake ambao ni rika langu wamekuwa hawajui kujali, kuthamini na hata hawana upendo wa kwel. Ninahitaji mwanamke mwenye miaka kuania 30 and above.
KWA ALIYETAYARI ANI-PM.
nawasilisha jaman.

kipesa najiweza, wala sihitaji fedha ya mwanamke ila mm ndo hvyo nahitaji kuwa na mwanamke aliyenizid umri... ova..

Take your time young brother, unaweza kupata stress zaidi hata kwa hao wakubwa...
 
mtazamo wako cyo mbaya ila hata kwa hao wakubwa kuna changamoto pia. ila subiri labda utampata
 
Iam 24years old. Na sababu iliyonifanya nitafute mwanamke aliyenizidi umri ni kuwa hawa wanawake ambao ni rika langu wamekuwa hawajui kujali, kuthamini na hata hawana upendo wa kweli. Ninahitaji mwanamke mwenye miaka kuania 30 and above.

KWA ALIYETAYARI ANI-PM.

Nawasilisha jamani.

Duuuuh! Nakuja!
Kumbe na sisi bado nafasi zetu zipo!
Haleluyaaaaaa
 
kuna demu anatafuta bwana Ana miaka 28 Ila ni mwadhirika wa HIV
 
Iam 24years old. Na sababu iliyonifanya nitafute mwanamke aliyenizidi umri ni kuwa hawa wanawake ambao ni rika langu wamekuwa hawajui kujali, kuthamini na hata hawana upendo wa kweli. Ninahitaji mwanamke mwenye miaka kuania 30 and above.

KWA ALIYETAYARI ANI-PM.

Nawasilisha jamani.

Try me, i will give u smthng u ve never had from all ur women, if u are curious check me out savi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom