Nimetoka kununua kitu lakini bahasha niliyofungiwa bidhaa ni nyaraka za TRA custom, ni release order ya mzigo wa mfanyabiashara wa Karagwe. Details zina thamani ya mzigo, hela aliyolipa kama kodi na address zake.
Pia kuna sahihi za wahusika kuruhusu mzigo kupita mpakani. Kuna siku nilikutana na CV ya mtu, na barua ya maombi ya kazi.
Siku nyingine nikakutana na barua ya kusimamishwa kazi mfanyakazi wa Halmashauri.
Najua wengi tunapokea hizi bahasha za kufungia chips na mishkaki lakini wangapi mmezipasua na kusoma content za ndani?
Je, wahusika hawalindwi na vifungu vya sheria taarifa zao kutunzwa?
Ni maadili mabovu kiasi gani kwa taasisi zinazoheshimika kuanika taarifa za watu hovyo?
Pia kuna sahihi za wahusika kuruhusu mzigo kupita mpakani. Kuna siku nilikutana na CV ya mtu, na barua ya maombi ya kazi.
Siku nyingine nikakutana na barua ya kusimamishwa kazi mfanyakazi wa Halmashauri.
Najua wengi tunapokea hizi bahasha za kufungia chips na mishkaki lakini wangapi mmezipasua na kusoma content za ndani?
Je, wahusika hawalindwi na vifungu vya sheria taarifa zao kutunzwa?
Ni maadili mabovu kiasi gani kwa taasisi zinazoheshimika kuanika taarifa za watu hovyo?