Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,125
- 2,859
Najiuliza maswali mengi kwani serikali ya TANZANIA haitozi Kodi kwa magari ya mizigo yanayoenda Kenya? Au kama wanatoza kwanini wasijaribu kuangalia upya hizo tozo ili waongeze kodi ya 25% kwa magari ya mizigo yanayoenda Kenya ambayo ni nafaka, matunda na viungo na kuongeza japo 10% kwa yanayoingia? Kwasababu lazima serikali ifaidike na mazao yanayouzwa nje. Au munaonaje wazalendo wenzangu?