Serikali yawatelekeza wanafunzi 29 Ukraine

kuna mgongano si kidogo.. inashangaza.. kwa namna fulani inanipa jibu kuhusu Rais kung'ang'ania kudai serikali ya Uingereza inamiliki BAE.. I can see the connection
 
KNKCU.. yaani hamuwezi kuamini! nimezungumza na wabunge 3 wa CCM na wote wako kama Mkono...!! sijui ni nini kinaendelea TZ... this doesnot make any sense!!
 
si nawatamanisha ili msikilize kesho... au baadaye usiku huu kwa watu wa NA! the bottom line ni kuwa may be we are not as influential as we think we are!
 
hilo la kutokuwa influental nalijua sana na nimeliona baada ya kuuliza majina ya PR /COMMUNICATIONS TEAM ya JK na hakuna nayejua

bado sana
 
PR Team wapo kina Kallaghe na Asha Mtwangi aliyewahi kuwa mtangazaji ITV. Mshauri wa Mahusiano ya Jamii ni Bi Fatma Mwassa aliyewahi kuwa mwandishi mmoja wa wahariri wa Majira, kisha alifanya kazi TACAIDS. Pia wapo hao waandishi wenyewe kina Premi Kibanga na Maura Mwingira.
 
Tatizo la viongozi wengi kwenye utawala sasa hivi wanaangalia 2010 maslahi yao binafsi.
 
Ndugu Mwanakijiji shukrani kwa matangazo kuhusu hali za vijana huko Ukraine.Katika maelezo yao vijana wameeleza waziwazi kuwa hali ni ngumu na pengine hii March watafukuzwa sio shule tu ,bali hata kuishi kwenye Hostel za shule hizo.Nimewahi kuishi sehemu hizo na natambua hali ngumu wanayokabiliana nayo, haswa kipindi hiki kigumu cha baridi!
Wale mliopo nyumbani haswa Ikulu,tunawaomba mumpitishie Mh Rais Fax walioleta vijana hao ili wapatiwe ufumbuzi.Mh Chabaka Kilumanga (President Personal Secretary) najua utakuwa umeiona hiyo fax,na kwa kuwa unaingia humu naomba shughulikia hilo.Una uzoefu mkubwa na masuala ya Russia/Ukraine kwa sababu umesoma huko na kufanya kazi kwenye Embaassy yetu Moscow.P/se shughulikia hilo kwa sasa,kwa sababu una nafasi na ushawishi mkubwa kwa walio madarakani nyumbani.Hali ni ngumu na kama kuna uwezekano sikilizeni podomatic ya Mwanakijiji ili mjue hali halisi.Ni matumaini yetu matatizo ya vijana yatapatiwa ufumbuzi!.
 
Mwawado, yaani gharama yangu ya Simu nitakoma.. kutwa nzima nimekuwa nikizungumza na Wabunge wa CCM hivyo msishtuke mkisikia serikali inaact before Friday... lets keep the pressure up..! I'm doing lobbying for these young people...ili waendelee kusoma siyo kurudishwa nyumbani
 
Kwa nini SAIDI YAKUBU wa BBC asijaribu kufuatilia hali ya wanafunzi wa kitanzania UKRAINE?

Japo si mjaji san humu lakini naamini hii issue inaweza ikawa News kwa BBC
 
Ndugu Mwanakijiji shukrani kwa matangazo kuhusu hali za vijana huko Ukraine.Katika maelezo yao vijana wameeleza waziwazi kuwa hali ni ngumu na pengine hii March watafukuzwa sio shule tu ,bali hata kuishi kwenye Hostel za shule hizo.Nimewahi kuishi sehemu hizo na natambua hali ngumu wanayokabiliana nayo, haswa kipindi hiki kigumu cha baridi!
Wale mliopo nyumbani haswa Ikulu,tunawaomba mumpitishie Mh Rais Fax walioleta vijana hao ili wapatiwe ufumbuzi.Mh Chabaka Kilumanga (President Personal Secretary) najua utakuwa umeiona hiyo fax,na kwa kuwa unaingia humu naomba shughulikia hilo.Una uzoefu mkubwa na masuala ya Russia/Ukraine kwa sababu umesoma huko na kufanya kazi kwenye Embaassy yetu Moscow.P/se shughulikia hilo kwa sasa,kwa sababu una nafasi na ushawishi mkubwa kwa walio madarakani nyumbani.Hali ni ngumu na kama kuna uwezekano sikilizeni podomatic ya Mwanakijiji ili mjue hali halisi.Ni matumaini yetu matatizo ya vijana yatapatiwa ufumbuzi!.

Mwawado!
Huyo jamaa ni bomu na yeye akiwa ubalozi pale Moscow alipewa kazi ya kushughulikia maswala ya wanafunzi na haya unayoyaona sasa yanayowapata wanafunzi yalikuwepo Muongo uliopita na Chabaka akiwa Mhusika.Hivyo msitegemee jipya kupitia kwake.Ni mzuri kwa pombe na sigara na ukimueleza ukweli anakuja juu na kukuweka katika list ya watu hatari na hata aliweza kufanya unyama baadhi ya wanafunzi kutimuliwa kwaajili ya kutofautina naye.
 
mbona mnapata Tabu?

Rais alishatoa namba yake ya simu sasa kwanini kama kuna evidence za kutosha basi dawa ni kumsemelea kwa Rais kisha tuone nani mkubwa JK au balozi

desperate times always call for desperate measures
 
Ndugu Mwanakijiji shukrani kwa matangazo kuhusu hali za vijana huko Ukraine.Katika maelezo yao vijana wameeleza waziwazi kuwa hali ni ngumu na pengine hii March watafukuzwa sio shule tu ,bali hata kuishi kwenye Hostel za shule hizo.Nimewahi kuishi sehemu hizo na natambua hali ngumu wanayokabiliana nayo, haswa kipindi hiki kigumu cha baridi!
Wale mliopo nyumbani haswa Ikulu,tunawaomba mumpitishie Mh Rais Fax walioleta vijana hao ili wapatiwe ufumbuzi.Mh Chabaka Kilumanga (President Personal Secretary) najua utakuwa umeiona hiyo fax,na kwa kuwa unaingia humu naomba shughulikia hilo.Una uzoefu mkubwa na masuala ya Russia/Ukraine kwa sababu umesoma huko na kufanya kazi kwenye Embaassy yetu Moscow.P/se shughulikia hilo kwa sasa,kwa sababu una nafasi na ushawishi mkubwa kwa walio madarakani nyumbani.Hali ni ngumu na kama kuna uwezekano sikilizeni podomatic ya Mwanakijiji ili mjue hali halisi.Ni matumaini yetu matatizo ya vijana yatapatiwa ufumbuzi!.

mbona mnapata Tabu?

Rais alishatoa namba yake ya simu sasa kwanini kama kuna evidence za kutosha basi dawa ni kumsemelea kwa Rais kisha tuone nani mkubwa JK au balozi

desperate times always call for desperate measures
Dr WHO!
Sidhani kwamba huyu Mh.Rais hajui kwamba kuna vijana wana matatizo Ukraine hali yakuwa Vyombo vya HABARI VYA TANZANIA VIMEANDIKA SWALA HILI NA BBC LONDON KATIKA KIPINDI CHAKE CHA DIRA KILIMUHOJI BALOZI CHOKALA.Tabia ni kukwepa uwajibikaji wa kuyashughulikia matatizo ya wananchi wenzetu.Hasa ikionekana hayana tija chanya ya kisiasa kwa wahusika.
 
Kwa nini SAIDI YAKUBU wa BBC asijaribu kufuatilia hali ya wanafunzi wa kitanzania UKRAINE?

Japo si mjaji san humu lakini naamini hii issue inaweza ikawa News kwa BBC
BBC Idhaa ya kiswahili ilishafanya mahojiano na balozi Chokala katika kipindi chake cha Dira wiki iliyopita,Ungeyasikia ungetamani kulia kwa hayo majibu hasa ukizingatia hali waliyonayo hao vijana.Na kumbuka huyu alikuwa mmoja wa wagombea nafasi ya Urais.
 
Mjj Pole bro kwa gharama na tabu unazopata kwa hao miungu mtu pindi unapowasiliana kama kejeli,utumbo,kukata simu bila kutoa majibu yasiyoeleweka nk.Tatizo hata huko nyumbani sasa watu ambao wanazisoma au kusikia kwenye vyombo vya habari hii stori haiwahusu as long as watoto wao au ndugu zao si miongoni mwa hao wanaoteseka.Pia JF tusichoke kwani hawa ni ndugu zetu tulie na hawa MAHARAMIA TU hadi yawajibike kibinadamu
 
Back
Top Bottom