S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Hakuna mtu kuchangia wala nini, hiyo itakuwa njia rahisi ya kuidekeza serikali kuwajibika. Binafsi nasema kama tunataka kuchangia iwe under two conditions:
a. Serikali itamke hadharani kuwa imeshindwa kuwasomesha vijana hawa na kutimiza ahadi yake kwao.
b. Prof. Msolla ajiuzulu na kukubali kushindwa kuisimamia bodi ya mikopo.
MKJJ
I understand mtazamo wako hapo juu cha muhimu hapo juu. That is too political demands kwa bongo yetu. Hao watoto huko waliko wataendeleakusota.