Serikali yatoa trilioni moja za kununua dawa

Makusanyo ya mwezi November ni shilingi ngapi? Tuanzie hapo. Kama serikali hii inakusanya trilioni moja kwa mwezi na matumizi ya mishahara peke yake ni bilioni 550 hakuna namna unaweza kutoa trilioni moja ya dawa labda mtuambie mmetenga trilioni moja, ingawa raisi alituambia bajeti ya dawa ni bilioni 800.

Kwanza tujulisheni makusanyo ya November please
 
Serikali ya mlipuko bana.
Hawa si walidai mahospitalini kuna dawa za kutosha na hali ni nzuri kabisa Leo wanatokea wapi kusema wametoa hela za dawa?

Serikali isiyokuwa na akili timamu ni tatizo
 
Kweli ninaamini ukiwa nyumbu ni ngumu kujitambua, ndiomaana maMvi hakurudi kwao kuchunga ng'ombe ameamua kuchunga nyumbu. Yaani ili la serikali kununua dawa mnapiga?
Acha ujuha unajua bajeti ya wizara ya afya na walisema shilingi ngapi zinatosha kwa dawa?Jiongeze kidogo
 
Wanakata majani na kuacha mizizi; kuna guarantee gani some of that money kutoingia kwenye mifuko ya watu wakati not much has been implemented kwenye kusimamia matumizi.
 
Najua kuna kikundi fulani kitakuja na kukejeli hatua hii. Mungu ibariki serikali hii ya awamu ya tano kwani ni wewe ee Mwenyezi ulie iweka madalakani kama njia za kuikomboa Tanzania.
Mkuu si mlikanusha kuwa hakuna uhaba wa dawa...mbona inakuwa tena serikali yatoa trilioni moja kukabiliana na uhaba wa dawa...kama mlidanganya kuwa hakuna uhaba wa dawa kwanini tusiamini hata hizi trioni moja mnazosema pia ni uongo mnadanganya
 
Wewe ndio ujiongeze, dawa zikinunuliwa hamtaki, dawa zikiishia mnalalamika!! iyo nikaona inawatafuna tangu muwasaliti watanzania kwa kumchagua maMvi awe mgombea kupitia UKAWA.

Laana yakupinga kila jambo naiendelee kuwatafuna kwakuwa watanzania wanaziona rangizenu halisi.
 
Tunaunga mkono jitihada za serikali. Kila mmoja akitimiza wajibu wake tutafika tunapopahitaji. Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania.
 
Wanakata majani na kuacha mizizi; kuna guarantee gani some of that money kutoingia kwenye mifuko ya watu wakati not much has been implemented kwenye kusimamia matumizi.

If you believe the government has set aside 1trilion for medicines, while budget for the entire ministry was just 800Bilion and even that allocation has been less than 30% so far, you deserve to be rulled by CCM for eternity. Match made by the GODS.
 
If you believe the government has set aside 1trilion for medicines, while budget for the entire ministry was just 800Bilion and even that allocation has been less than 30% so far, you deserve to be rulled by CCM for eternity. Match made by the GODS.
Well anything is possible in this land, government planning is a mere ritual than an objectives to follow.
 
Hilooo sio suala la kututangazia,ni haki yetu na pesa zetu,walikuwa wapi muda wote kununua hizoo dawa mpaka mlalamiko kila kona ndoo sasa wanajifanya kutowa trilioni moja Hewa
Hamtufai kabisa tunajuta kuwachaguwa kwa kweli
Hii regime,full dramas kila Leo,SILLY GAME.
 
Cylb_N0XEAAsPqb.jpg
 
Better being an optimistic of change from within than believing on undefined changes others r selling.
No one is selling changes here. You have just been told you ar ebwing sold phantom numbers that dont add up.

There is no way in hell a govt with 1tr in collections, 600B in salaries expenditures and over 300B in debt repayment commitments monthly can come up with 1tr on such short notice.

Hiyo hela haipo.read between the numbers.
 
No one is selling changes here. You have just been told you ar ebwing sold phantom numbers that dont add up.

There is no way in hell a govt with 1tr in collections, 600B in salaries expenditures and over 300B in debt repayment commitments monthly can come up with 1tr on such short notice.

Hiyo hela haipo.read between the numbers.
The same ppl managed to purchase two new aircrafts and have already made a deposit for two more without a budget.

On the sums discussed all we know those expenditures were suspended to date how much has accumulated to and how much the government is adding to support their allocation claims is a matter of those who can access that information.

As a public member I can only take the statement at face value but then my expectation are that the shortage soon will be history anything else I can refer to this statement as a lie.
 
Kweli ninaamini ukiwa nyumbu ni ngumu kujitambua, ndiomaana maMvi hakurudi kwao kuchunga ng'ombe ameamua kuchunga nyumbu. Yaani ili la serikali kununua dawa mnapiga?
Hayo ni matamko ya mwendokasi
 
Wewe ndio ujiongeze, dawa zikinunuliwa hamtaki, dawa zikiishia mnalalamika!! iyo nikaona inawatafuna tangu muwasaliti watanzania kwa kumchagua maMvi awe mgombea kupitia UKAWA.

Laana yakupinga kila jambo naiendelee kuwatafuna kwakuwa watanzania wanaziona rangizenu halisi.
Ukiambiwa jambo jaribu kufikiri, usiwe na akili fupi iweje badget ya wizara ni 800 billion halafu kwa wakati mmoja mnatumia 1 trillion!!?
 
Back
Top Bottom