nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,274
- 3,757
Hii nchi ni corrupt yaani maigizo kila siku, hivi kuorodhesha ndio kuonyesha kuwa kuna maadili mbona wakitoka madarakani hawaulizwi mali zao? Maskini yule mama jaji jana analalama kuwa sheria haijawapa nguvu ya kuhakiki hizo mali zinazoorodheshwa yaani hapo ni kazi bure tu