Sekretarieti ya Maadili ya Umma: Baadhi ya Vigogo Wamekwepa Kutaja Vyanzo vya Mali zao na Wenza

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
45,536
52,619
Kwa mujibu wa karibu Mtendaji wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma anasema Vigogo wa Serikali Wamekwepa kueleza vyanzo vya Mali na utajiri wao.

Screenshot 2024-05-27 151513.jpg


SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma imesema baadhi ya viongozi wamekwepa kutoa ufafanuzi wa vyanzo vya mapato waliyonayo na wameshindwa kutaja thamani ya mali walizonazo kwenye fomu ya tamko la mali.

Pia imesema baadhi ya viongozi wameshindwa kujaza taarifa za wenza wao hasa taarifa za fedha zilizoko benki na kukwepa kujaza vipengele muhimu, huku wengine wakipokea zawadi mbalimbali bila kuzitolea matamko.

Hayo yamo kwenye taarifa ya sekretarieti hiyo iliyowasilishwa mwishoni mwa wiki na Kamishna wa Sekretarieti hiyo, Sivangilwa Mwangesi, wakati akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari juu ya mafanikio ya sekretarieti.

Chanzo: Nipashe

Swali.
Kama watu Wameshindwa kuelezea walivyopata Mali,ni wazi wameibia Wananchi,Kwa nini Sekretarieti haiwapeleki TAKUKURU?
 
Kwa mujibu wa karibu Mtendaji wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma anasema Vigogo wa Serikali Wamekwepa kueleza vyanzo vya Mali na utajiri wao.

SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma imesema baadhi ya viongozi wamekwepa kutoa ufafanuzi wa vyanzo vya mapato waliyonayo na wameshindwa kutaja thamani ya mali walizonazo kwenye fomu ya tamko la mali.

Pia imesema baadhi ya viongozi wameshindwa kujaza taarifa za wenza wao hasa taarifa za fedha zilizoko benki na kukwepa kujaza vipengele muhimu, huku wengine wakipokea zawadi mbalimbali bila kuzitolea matamko.

Hayo yamo kwenye taarifa ya sekretarieti hiyo iliyowasilishwa mwishoni mwa wiki na Kamishna wa Sekretarieti hiyo, Sivangilwa Mwangesi, wakati akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari juu ya mafanikio ya sekretarieti.

Chanzo: Nipashe

Swali.
Kama watu Wameshindwa kuelezea walivyopata Mali,ni wazi wameibia Wananchi,Kwa nini Sekretarieti haiwapeleki TAKUKURU?
Wamechukua hatua gani kwa walioshindwa kutaja vyanzo vya mali zao??anyways sio tu kwa viongozi , hata wafanyabiashara wakubwa TZ hawawezi kukuambia kwa uwazi chanzo cha utajiri wao!wanakwepakwepa tu!hawataki watu wawe inspired
 
Wamechukua hatua gani kwa walioshindwa kutaja vyanzo vya mali zao??anyways sio tu kwa viongozi , hata wafanyabiashara wakubwa TZ hawawezi kukuambia kwa uwazi chanzo cha utajiri wao!wanakwepakwepa tu!hawataki watu wawe inspired
Wengi hela zao ni chafu na wengine ni za ndagu,sasa unataka inspiration ya kuweka kafara ndugu zako Mkuu!!
 
Wamechukua hatua gani kwa walioshindwa kutaja vyanzo vya mali zao??anyways sio tu kwa viongozi , hata wafanyabiashara wakubwa TZ hawawezi kukuambia kwa uwazi chanzo cha utajiri wao!wanakwepakwepa tu!hawataki watu wawe inspired
Wafanyabiashara achana nao mfano Sasa hivi Kuna uhaba wa Dola kwenye mabenki Lakini wafanyabiashara wanajua wenyewe Namna ya kupata hizo Dola nje ya mifumo Rasmi na kuleta bidhaa Toka nje ikiwemo mafuta ,gesi ni ukiwakomalia Nchi inarudi kwenye Umaskini wa kutupwa

Mafuta na gesi Nk vitakosekana hata matairi tu ya Magari na vipuri hutapata

Wanaotakiwa kukomalia ni viongozi wa umma waeleze source ya utajiri wao

Mtu binafsi asiye kiongozi pesa anatoa wapi sio kazi ya serikalli Hiyo unless awe ameibia Mtu na huyo Mtu kampeleka mahakamani
 
Kwa mujibu wa karibu Mtendaji wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma anasema Vigogo wa Serikali Wamekwepa kueleza vyanzo vya Mali na utajiri wao.

SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma imesema baadhi ya viongozi wamekwepa kutoa ufafanuzi wa vyanzo vya mapato waliyonayo na wameshindwa kutaja thamani ya mali walizonazo kwenye fomu ya tamko la mali.

Pia imesema baadhi ya viongozi wameshindwa kujaza taarifa za wenza wao hasa taarifa za fedha zilizoko benki na kukwepa kujaza vipengele muhimu, huku wengine wakipokea zawadi mbalimbali bila kuzitolea matamko.

Hayo yamo kwenye taarifa ya sekretarieti hiyo iliyowasilishwa mwishoni mwa wiki na Kamishna wa Sekretarieti hiyo, Sivangilwa Mwangesi, wakati akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari juu ya mafanikio ya sekretarieti.

Chanzo: Nipashe

Swali.
Kama watu Wameshindwa kuelezea walivyopata Mali,ni wazi wameibia Wananchi,Kwa nini Sekretarieti haiwapeleki TAKUKURU?
Hiyo sekretarieti inaweza kuchunguza vyanzo vya mali za rais na familia yake? Sekretarieti hewa hiyo kama haiwezi kuchunguza utajiri wa rais aliyeko madarakani na wale waliostaafu ambao inasemwa wana ukwasi mkubwa sana.

Lile jumba bashite alilonyang'anywa na GSM hadi kutishiwa bastora akidai ni lake alipata wapi pesa ya kununua plot sehemu ya matajiri na kujenga mjengo ule kama sio wizi!
 
Back
Top Bottom