Serikali yatoa muda mpaka saa 12 jioni kwa mawaziri wasiopeleka tamko la mali watakuwa wamejiondoa

Najiuliza sana swali hili, lakini pia tume ya maadili ingeanza kutoa tathmini ya uzalendo wa viongozi waliomaliza muda wao ili kujua kama mienendo yao ilikuwa safi ktk utumishi
Hicho ndicho kinachotakiwa na si drama nyingine,hii inaitwa business as usual...tunafanya kwa kuwa ni desturi iliyozoeleka ila ukijaza hakuna impact yoyote hata kama kutakuwa na utofauti mkubwa..Labda wanze kuzifanyia kazi za waliopita kwanza
 
Scaremonger tactic katika kuwahimiza wafanyakazi wa chini waogope na wao wakijua kuna kuchekiwa ukiangalia katika hao mawaziri husika waliotajwa watatu ni makachero wanaojulikana hao wengine wawili most likely kundi hilo hilo its called taking one for the team; awamu hii kuna watu wapo serikarini mambo ya propaganda wanayajua ukitazama hata synchronize ya kauli na matendo ni wote kwa pamoja jumlisha na hili tamko unajua lengo lake nini.

Fagia fagia ya kwenye vyombo vya habari serikarini safari hii naona wamepata mtaalamu wa propaganda if you ask me ntasema 'Mahiga' ambaye sio tia maji tia maji na kuna malengo rasmi ya ulaji wa habari unaotarajiwa nadhani (just an assumption not factual).
 
hawa walipewa muda kwa kuvunja kanuni za utumishi......................je majaliwa ana kanuni za utumishi za nchi tofauti
 
Back
Top Bottom