mm naona njia njema kwa hawa watu ni huko mahakamani na kwa hili hakuna mazungumzo
nnapishana na ndugu yangu na waziri wangu, hawa wahuni si wakuzungumza nao amewaona makamba hawa ubabe walionao sheria tu ndio inayowafaa
kumbe rowasa ana akili kuwazidi wenzie,yeye aliacha party politics akaongea ukweli, wenzie naona mazezetaNawaona hawa wawili wote wakiwa The International Criminal Court.
Mlipewa muda mrefu na Mtoto wa Mkulima akaahidi kuwa atasuluhisha.
Lowassa akasema pia msuluhishe mambo mapema maana Arusha siyo Tabora.
Makamba akamwijia juu na kumwaga utumbo wake. Sasa watu wawili wamekufa na wengine kujeruhiwa.
Kwa nini watu wasipelekewe Hague?
SOMEBODY MUST PAY FOR THIS.
Mwinyi alijiuzulu kutokana na mauaji yaliyotokea kule Shinyanga. Huyu Nahodha na wahusika wote wa haya mauaji ikiwemo wakuu wa polisi na FFU wa Arusha wanatakiwa wajiuzulu haraka sana na wale wote waliokamatwa waachiwe mara moja.
Watu tumezoea viongozi wanafanya yale tunayawaza sisi tu. Natamani CHADEMA waingie madarakani alafu kutokee political unrest nione watashughulikia vipi.
Waziri wa Mambo ya Ndani na Usalama wa Raia Mh. Shamsi Vuai Nahodha akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao Mkuu ya Wizara hiyo jijini Dar es salaam mchana huu kuhusiana na vurugu zilizotokea jana wakati polisi walipozima maandamano ya wanachama wa Chadema mkoani Arusha jana. Mh. Shamsi Vuai Nahodha ametangaza kwamba katika vurugu hizo watu wawili wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa wakati wa zoezi la kuzima maandamano hayo jana. Ameongeza kwamba Serikali imeamua kuutatua mgogoro huo katika ya pande mbili zinazokinzana katika mkoa wa Arusha ambapo amesema njia nzuri ya kumaliza mgogoro huo ni kuwasuluhisha kwa njia ya Mazungumzo ili kuleta amani mpya katika mkoa huo. Katika picha kushoto ni Mkuu wa Jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema ambaye ndiye aliyetoa amri ya kutoruhusu maandamano na kuruhusu mkutano wa hadhara kuendelea huku akisisitizia kwamba jeshi la polisi litaongeza ulinzi zaidi ili kuleta amani katika mkutano huo. wakati akizungumza wa waandishi wa habari siku moja kabla ya maandamano hayo.
ukitaka kujua huyu jamaa(nahodha) ni juha alipaswa kuwa arusha na sio dar.....hapa anapiga domo sasa hvi wakati ndugu yangu Dennis na wengine wamepoteza maisha........ huu ni upumbavu mkubwa sana....
mpumbavu kama wewe mwenye mawazo mgando na hasi kwa nini usichambe then ukaenda kulala!!!
unadhani chadema ni ccm......tatizo umezaliwa ukakuta wazazi wako ni watumwa.......unapoambiwa kuwa wazazi wako pamoja na wewe mko utumwani unakataa...... maana umezaliwa ukawakuta baba na mama yako wako utumwani......juha mkubwa mweeeeeee
Mdebwedo!Hii kauli ingetangulia mwanzo pasingemwagika damu. Baada ya kumwaga damu uko zanzibar tunakushukuru kwa kuja na kasi mpya bara ya kunyonya damu za watu wanaodai haki. Tuachie Tanganyika yetu urudi kwenu Zanzibar au nenda kabisa Afghanistan ukajiunge na ndugu zako magaidi wa Alqueda. Wizara yako si ya usalama wa raia ni ya usalama wa CCM
PM Pinda alisema by 5th January wangemaliza mgogoro wa umeya Arusha ambao ndio chanzo cha yote hayo, lakini hakuna lolote!! Hii ni geresha nyingine.
Waziri wa Mambo ya Ndani na Usalama wa Raia Mh. Shamsi Vuai Nahodha akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao Mkuu ya Wizara hiyo jijini Dar es salaam mchana huu kuhusiana na vurugu zilizotokea jana wakati polisi walipozima maandamano ya wanachama wa Chadema mkoani Arusha jana. Mh. Shamsi Vuai Nahodha ametangaza kwamba katika vurugu hizo watu wawili wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa wakati wa zoezi la kuzima maandamano hayo jana. Ameongeza kwamba Serikali imeamua kuutatua mgogoro huo katika ya pande mbili zinazokinzana katika mkoa wa Arusha ambapo amesema njia nzuri ya kumaliza mgogoro huo ni kuwasuluhisha kwa njia ya Mazungumzo ili kuleta amani mpya katika mkoa huo. Katika picha kushoto ni Mkuu wa Jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema ambaye ndiye aliyetoa amri ya kutoruhusu maandamano na kuruhusu mkutano wa hadhara kuendelea huku akisisitizia kwamba jeshi la polisi litaongeza ulinzi zaidi ili kuleta amani katika mkutano huo. wakati akizungumza wa waandishi wa habari siku moja kabla ya maandamano hayo.