Serikali yataka kumaliza tofauti za kisiasa Arusha kwa mazungumzo

Nahodha acha UNAFIKI. Ulikuwa wapi mpaka watu wamepoteza maisha?????

Wewe na IGP Mwema lazima mjiuzulu kuonyesha uwajibikaji. Fuateni nyayo za Rais mstaafu Mwinyi aliyejiuzulu miaka ya 1970s kwa MAUAJI YA WATU KWA TUHUMA ZA UGANGA NA UCHAWI yaliyofanywa na Jeshi la Polisi.

Kama kweli mko serious na kumaliza mgogoro huu kwa njia ya majadiliano/kusuluhisha kwa pande mbili yaani CHADEMA na CCM basi muanze KWA KUWAACHIA HURU VIONGOZI NA WANACHAMA WOTE WA CHADEMA AMBAO JESHI LA POLISI BADO LINAWASHIKILIA.

Haka kajamaa huwa nakaona kamelegealegea sana sijui hata kama kanaweza....na hata kalivyotangazwa mambo ya ndani nilijua hakataweza kabisa......haka kanaweza kula urojo peke yake......
 
These motherf.u.c.k.ers are so schizofreaks,why all this politics of scaremongeringn and killing the innocents just to please ya dumbass boss who doesn't deserve to be there!!!!
2.jpg

Waziri wa Mambo ya Ndani na Usalama wa Raia Mh. Shamsi Vuai Nahodha akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao Mkuu ya Wizara hiyo jijini Dar es salaam mchana huu kuhusiana na vurugu zilizotokea jana wakati polisi walipozima maandamano ya wanachama wa Chadema mkoani Arusha jana. Mh. Shamsi Vuai Nahodha ametangaza kwamba katika vurugu hizo watu wawili wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa wakati wa zoezi la kuzima maandamano hayo jana. Ameongeza kwamba Serikali imeamua kuutatua mgogoro huo katika ya pande mbili zinazokinzana katika mkoa wa Arusha ambapo amesema njia nzuri ya kumaliza mgogoro huo ni kuwasuluhisha kwa njia ya Mazungumzo ili kuleta amani mpya katika mkoa huo. Katika picha kushoto ni Mkuu wa Jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema ambaye ndiye aliyetoa amri ya kutoruhusu maandamano na kuruhusu mkutano wa hadhara kuendelea huku akisisitizia kwamba jeshi la polisi litaongeza ulinzi zaidi ili kuleta amani katika mkutano huo. wakati akizungumza wa waandishi wa habari siku moja kabla ya maandamano hayo.
 
What is really interesting is that all the main stream local media sources dont seem to indicate that anyone was killed in the civil unrest... What are the figures...according to official sources other than the BBC.. What is the casualties count according to the URT GOV.???
 
Huu ni mwanzo, safari imeanza rasmi tarehe 5 January 2011, kuikomboa nchi yetu tanganyika. Tulipofikia, ukombozi huu hauwezi kuja kwa kukaa meza moja na matapeli, makuwadi, majambazi, madhulumati, wasanii, na wauaji. Chadema kanyaga twende wasijewalambisha pumba kama walivyowafanyia cuf
 
jamani ana anuani ya ocampo...i want these people kuweka historia kusimama kwa pilato..the hague..shame on them
 
Makamba alishasema chama chake hakina cha kuongea na CDM, Lowasa na yake yote aliyonayo alitabiri hili na kusisitiza makubaliano yafanyike mezani ila katibu Makamba alijibu kwa kejeli na majigambo kwamba hawatakaa kuongea na CDM kamwe. Sasa bwana Nahodha izo roho na damu mlikua mnataka zimwagike ndo mjue kwamba hii ni nchi ya demokrasia?, nadhani serekali imejionea kwamba kuna uhusiano mkubwa kati ya kumwagika damu na haki iliyopokonywa. Saidi Mwema uchunguzi wako wa kiintelijesia haukukuonyesha kuwa kuzuia maandamano ya amani kwa kutumia nguvu ya dola iliyopitiliza kutapelekea muaji na majeruhi wengi wanaotaka haki yao????? msimamizi wa uchaguzi wa kiti cha umeya arusha umeona hathari za kukiuka taratibu za uchaguzi??? IGP mwema kwa busara achia ngazi baba umechemka kwa amri ya uliyoitoa. Msimamizi wa uchaguzi wa umeya Arusha achia ngazi baba umeharibu uhai na mali za baadhi ya wana Arusha. TAMISEMI akili kumkichwa fanyeni jambo ambalo litatusahaulisha uhai, majeruhi na uharibifu wa mali uliojitokeza Arusha(sijui mtafanya nini!!!)
HAKI ni baba wa AMANI.
 
2.jpg

Waziri wa Mambo ya Ndani na Usalama wa Raia Mh. Shamsi Vuai Nahodha akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao Mkuu ya Wizara hiyo jijini Dar es salaam mchana huu kuhusiana na vurugu zilizotokea jana wakati polisi walipozima maandamano ya wanachama wa Chadema mkoani Arusha jana. Mh. Shamsi Vuai Nahodha ametangaza kwamba katika vurugu hizo watu wawili wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa wakati wa zoezi la kuzima maandamano hayo jana. Ameongeza kwamba Serikali imeamua kuutatua mgogoro huo katika ya pande mbili zinazokinzana katika mkoa wa Arusha ambapo amesema njia nzuri ya kumaliza mgogoro huo ni kuwasuluhisha kwa njia ya Mazungumzo ili kuleta amani mpya katika mkoa huo. Katika picha kushoto ni Mkuu wa Jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema ambaye ndiye aliyetoa amri ya kutoruhusu maandamano na kuruhusu mkutano wa hadhara kuendelea huku akisisitizia kwamba jeshi la polisi litaongeza ulinzi zaidi ili kuleta amani katika mkutano huo. wakati akizungumza wa waandishi wa habari siku moja kabla ya maandamano hayo.

Sijui kama itakuwa kweli maana shida kubwa ni viongozi walioko madarakani kutokubali kushindwa ila kwa hili Nahodha nakupongeza kwani ni mwanzo mzuri. Tunasubiri tuone nini kitajiri.
 
mm naona njia njema kwa hawa watu ni huko mahakamani na kwa hili hakuna mazungumzo


nnapishana na ndugu yangu na waziri wangu, hawa wahuni si wakuzungumza nao amewaona makamba hawa ubabe walionao sheria tu ndio inayowafaa

!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????????????????????????
 
ukitaka kujua huyu jamaa(nahodha) ni juha alipaswa kuwa arusha na sio dar.....hapa anapiga domo sasa hvi wakati ndugu yangu Dennis na wengine wamepoteza maisha........ huu ni upumbavu mkubwa sana....
 
Kwanini hizi busara hazikutangulia tangu mwanzo, walitaka mpaka watu wamwage damu ndo waseme huu unafiki wao. Na kwa taarifa yao wacheze na watu wengine na si wameru. Watawachinja polisi wote wasipoangalia na bunduki zao. Mi sikujua kama waziri husika yupo?
 
2.jpg

Waziri wa Mambo ya Ndani na Usalama wa Raia Mh. Shamsi Vuai Nahodha akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao Mkuu ya Wizara hiyo jijini Dar es salaam mchana huu kuhusiana na vurugu zilizotokea jana wakati polisi walipozima maandamano ya wanachama wa Chadema mkoani Arusha jana. Mh. Shamsi Vuai Nahodha ametangaza kwamba katika vurugu hizo watu wawili wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa wakati wa zoezi la kuzima maandamano hayo jana. Ameongeza kwamba Serikali imeamua kuutatua mgogoro huo katika ya pande mbili zinazokinzana katika mkoa wa Arusha ambapo amesema njia nzuri ya kumaliza mgogoro huo ni kuwasuluhisha kwa njia ya Mazungumzo ili kuleta amani mpya katika mkoa huo. Katika picha kushoto ni Mkuu wa Jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema ambaye ndiye aliyetoa amri ya kutoruhusu maandamano na kuruhusu mkutano wa hadhara kuendelea huku akisisitizia kwamba jeshi la polisi litaongeza ulinzi zaidi ili kuleta amani katika mkutano huo. wakati akizungumza wa waandishi wa habari siku moja kabla ya maandamano hayo.
Cheki mwema alivyovimba huku kichwani empty utafikiri huwa anakula kinyesi.
 
Meya amechaguliwa kinyume cha sheria ila KUPITIA MWENYEKITI WAKE WA CHAMA NA SERIKALI YAKE KWA UJUMLA WAKABARIKI UCHAGUZI UWO BATILI ILA SASA YAMETOKEA MAAFA NDO WANASEMA WAZUNGUMZE!
Wana JF huyu waziri ni mnafiki na hatufai
 
Watu tumezoea viongozi wanafanya yale tunayawaza sisi tu. Natamani CHADEMA waingie madarakani alafu kutokee political unrest nione watashughulikia vipi.
 
Hawa wote paomoja na yeyote anaehusika wanatakiwa wakazungumze huku wakiwa chini ya ulinzi mkali wa OCAMPO Luis mwendesha mashtaka wa ICC,Kwani hapo kabla walikuwa wapihawa? au walikuwa wanabip peoppless powerr? kama alivyosema Dr.Slaa sasa hivi hatutaki mazungumzo na mtu yoyote ,Wamemwaga ugali sisi tutaendelea kumwaga mboga nguvu ya poeple,Where is OCAMPO???? COME PLEASE :alien::flypig:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom