tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,327
Umaskini kitu kibaya sana.
Nafikir ni umasiki wa kutupwa ndio unaowasumbua, siku 1 nilipanga folen bank na walimu walikuwa wamelipwa madeni yao lkn hiyo furaha waliyokuwa nayo na matani wanayotaniana hadi nikasema hawa watumishi pengine wamelipwa mamilioni kuja kuangalia cheki zao ni kat ya laki 2 au 3, kimoyomoyo nikasema tz tunasafar ndefu sana ili tujikomboe, kwa siku hiyo sidhan kama ungeongelea ubaya wa serikali hao walimu wangekuelewa.