johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,947
- 141,922
Wakili wa serikali ameiambia mahakama ya kisutu kuwa wameshindwa kuwaleta mashahidi wa kesi ya mhasibu mkuu wa Takukuru kwa sababu hawana fedha yu nauli ya kuwasafirisha.
Wakili huyo wa serikali amesema mashahidi hao wako mikoani na wamedai hawana nauli ya kujisafirisha hadi Dsm.
Hata hivyo Hakimu mh Simba ameitaka serikali kuwaita mashahidi hao kwani utaratibu wa kuwalipia gharama mashahidi unafahamika.
Source ITV habari!
Wakili huyo wa serikali amesema mashahidi hao wako mikoani na wamedai hawana nauli ya kujisafirisha hadi Dsm.
Hata hivyo Hakimu mh Simba ameitaka serikali kuwaita mashahidi hao kwani utaratibu wa kuwalipia gharama mashahidi unafahamika.
Source ITV habari!