Afyayaakili
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 903
- 1,175
Hapana mkuu. Hii inaitwa "Mbuzi wa Bwana Heri kala mahindi ya Bwana heri". TRA wanamdai Nimrod mkono 1b, na yeye anaidai serikali 9b.
Hapo kujifanya mjuaji kwa anayekudai mbele za watu lakini baadae unamfata umempigia magoti.