John Cannor
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,464
- 1,824
....na ndiye mkwepa kodi mkubwa..!Tycoon ndiye analipa kodi kubwa kuendesha nchi
....na ndiye mkwepa kodi mkubwa..!Tycoon ndiye analipa kodi kubwa kuendesha nchi
Kosa vyote ila sio akili. Safari ya kufikia Tanzania ya viwanda kwa akili hizo ni mpaka Yesu Kristo atakaporudi
Hao freemason waliingiaje kwenye huu uzi? Maana thinking yako katika hili imenifanya nione kuwa viongozi wetu wana kazi nzitoNdio tutafika kwa kufunga biashara ? Viwanda sio nyimbo na maneno...ni sera madhubuti iliyo buniwa na wataalam baada ya kungalia mazingira tuliuo nayo.
Ni sera ambayo inaangalia jee ni viwanda gani tunahitaji na vitakua na kufanikiwa kutoa ajira na kusaidia kununua bidhaa zetu zilizopo hapa Tanzania.
Viwanda ni pamoja na kuwa na sera madhubuti ya kupunguza gharama za uzalishaji ikiwa,o umeme wa bei ya chini hasa tunapo kuwa na desi yetu wenyewe ...
Kama wewe uneona hio sera ya viwanda tutai ekeleza vipi ...tunaomba utuwekee hapa jamvini yuichambue....
Kodi inatakiwa ulipwe ndani ya mda stahiki inakuaje wamuache eti kisa anaidai serikali?? Hii ni hapa bongo tu! Kodi ni statutory and no negotiable debts.Ha ha kwenye hiyo bilioni 9 wakate bilioni yako 1 .
Mkuu kwenye hii kesi inaonyesha wazi kabisa kwamba mkono hajakwepa. Hapa inaonyesha kwamba kodi anayodaiwa inatokana na kazi ambayo ameifanyia serikali..na serikali haijamlipa. Yani wewe jiulize...tangia lini TRA waharakishe kumfungulia mtu ofiso yake siku ambayo siyo ya kazi kiserikali? Hapa ni wazi kabisa walishtukia kwamba wao ndio wamebugi wakaharakisha kuifungua hiyo ofisi kabla hawajashtakiwa mahakamani. Kwahiyo mimi sisemi mkono akwepe kodi..ila serikali imlipe kwanza halafu ndio imbane. Au bora zaidi wakate hiyo kodi yao wampe albaki.
Itakua walilipwa overtimeKwanini siku ya sikukuu
Sasa mkuu kodi si unalipa baada ya kupata kipato kama ni mfanyabishara? Sasa wakili mkono kafanya biashara na serikali na haijamlipa je hiyo pesa ya kulipa kodi ataitoa wapi?Kodi inatakiwa ulipwe ndani ya mda stahiki inakuaje wamuache eti kisa anaidai serikali?? Hii ni hapa bongo tu! Kodi ni statutory and no negotiable debts.
Sasa mkuu kodi si unalipa baada ya kupata kipato kama ni mfanyabishara? Sasa wakili mkono kafanya biashara na serikali na haijamlipa je hiyo pesa ya kulipa kodi ataitoa wapi?
TRA siku hizi ni Private entity? Ccm kwa Vi.la.za hamjambo! Wewe ni ki.la.za grade one,mwendikasi!Ndio maana ofisi ilifungwa,na huo ndio utaratibu!!serikali km haijamlipa sio Tatizo la TRA,yeye akadai huko serikalini. Ndio maana kuchanganya siasa na kazi mambo hayaendi,ona ss siasa imetumika jamaa wamefungua ofisi mchana kweupe.
Mbuzi wa mwenye shamba kala shamba la mwenye mbuzi.Ndio maana ofisi ilifungwa,na huo ndio utaratibu!!serikali km haijamlipa sio Tatizo la TRA,yeye akadai huko serikalini. Ndio maana kuchanganya siasa na kazi mambo hayaendi,ona ss siasa imetumika jamaa wamefungua ofisi mchana kweupe.
Hao freemason waliingiaje kwenye huu uzi? Maana thinking yako katika hili imenifanya nione kuwa viongozi wetu wana kazi nzito
Hahaha daah udom kumbe Mpo umu JF! Unadhani kwa kua TRA ni ya serikali na serikali inadaiwa ndio wanetoff deni au mkono asilipe kodi kisa anaidai serikali? Wewe sheria za kodi huzijui,na ITA huijui,na napoteza mda kujipu mpuuzi wa div five km wewe.TRA siku hizi ni Private entity? Ccm kwa Vi.la.za hamjambo! Wewe ni ki.la.za grade one,mwendikasi!
Kesi ya ngedere kumpelekea nyani nani mshindi?Another episode ya kukurupuka.
Walifunga mchana wakafungua usiku wa manane!View attachment 364110 View attachment 364108
Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), jana imezifungua ofisi za Kampuni maarufu ya uwakili ya Mbunge wa Butiama, Nimrod Mkono, ikiwa ni siku chache baada ya kuzifungia kwa madai kuwa kampuni hiyo inadaiwa kodi ya shilingi bilioni 1.
TRA waliwasili katika jengo la ofisi hizo zilizoko katika jengo la Bank ya Exim iliyoko jijini Dar es Salaam (ingawa ilikuwa sikukuu), pamoja na Kampuni ya udalali ya Yono na kuzifungua ofisi hizo mbele ya Nimrod Mkono na binti yake.
Mkurugenzi wa huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo amekiri kufunguliwa kwa ofisi hizo. Kayombo amesema kuwa uamuzi huo ulifikiwa baada ya kuwepo kwa makubaliano kati ya pande mbili na ahadi ya kufanya malipo iliyowekwa na mkono.
“Ni kweli muda upo tuliokubaliana lakini hatutaki uwe katika vyombo vya habari, kutokana na nia ya dhati aliyoonesha Mkono ndio maana tumekubaliana nae,” Kayombo anakaririwa.
Hatua hiyo imefikiwa huku kukiwa na taarifa kuwa ingawa Mkono amefungiwa ofisi zake akidaiwa kodi ya shilingi bilioni 1, yeye anaidai Serikali takribani shilingi bilioni 9 kwa kazi alizofanya ndani ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Chanzo: Mpekuzi