Serikali yapiga marufuku kuzungumzia suala la Faru John

Funika kombe mkubwa kachemka teh teh ndo kwanza mwaka wa kwanza bado miaka 9, duuh hawa watu hawa!
 
Wana jf
Salaam

Wizara ya Maliasili na utalii imeweka zuio kwa taasisi za serikali kutangaza sakata la kupotea kwa Faru john.
Naibu waziri Maliasili na utalii Ramos makani amesema suala la faru john liachiwe ofisi ya Waziri mkuu hivyo taasisi za serikali zisitoe taarifa zinazohusu faru john kwa kuwa lipo chini ya waziri mkuu na ndio atakaolitolea maaelezo, Naibu Waziri Makani amesema hayo mjini Loliondo alipofanya ziara amesema kumekua na upotoshwaji wa taarifa hizo.

Chanzo: ITV
 
Timwambia hatatumbua vijipu uchungu tu majipu yenyewe haya shikiki ukilishika unakua ni kiongozi Mkubwa wa chama hahahah mwisho wa story za faru john ....... Sisonje kesha shindwa kama alivyo shindwa lugumo hahhaha sisi tumetulia tunamwangalia anavyo angaika
 
Dash Dark Continent naiona kwa karibu....Vipi kuhusu Ben nae tuache kuandika kua tunamtaka akiwa hai
 
Tanzania kwa kuwapa kinga waliohusika katika matukio tunaongoza kwani likizungumzwa kuna nini kitatokea mpo sDunia ya ngapi sijui wenzenu kesi za mahamani unaweza ukaona live iwe kitu kinachochunguzwa kwani hao Tume wana akili ya kushikiwa...
 
Ufafanuzi uliotolewa na magazeti ya leo was quite exhaustive, indirectly ukionyesha Bwana Mkubwa (3) alipayuka.Kwa hiyo wanalenga kumprotect.
Lakini nadhani pia kujikanyaga kwa wakurugenzi wa idara ya wanyamapori kwenye kipindi cha cha StarTv.
 
Hahahaaaaaa huuwimboo unanimalizaga Sana msibanii''mbinguuni kunamakaoo mazurii sanaa''""
 
Back
Top Bottom