Enzi zile alikuwa Msalani na sasa ni Musa AllanMkuu kwema?? Kitambo nakumbuka nilikuchukia kisa uliisapoti sisiemu but now heko ALLAN
Mtaharibu ushahidi na isitoshe swala hili liko mahakamani.Kwanini mnakuwa wabishi?Nimecheka kwa dharau sana !
Gazeti gani nikalitafute nioneUfafanuzi uliotolewa na magazeti ya leo was quite exhaustive, indirectly ukionyesha Bwana Mkubwa (3) alipayuka.Kwa hiyo wanalenga kumprotect.
Kizungumkuti, kitimtim na maua yake
Tutapoteza ushaidi,wote shaaaaaaaaatapFaru John nadhani atakuwa yuko Mahakamani ndio maana haturuhusiwi kumuongelea.
Ha! Ha! Ha!Mtaharibu ushahidi na isitoshe swala hili liko mahakamani.Kwanini mnakuwa wabishi?
Mtanzania mkuuGazeti gani nikalitafute nione
Humtakii mema mbwa wako. Haujawahi kusikia kisa cha mahakama zetu kumhukumu mbwa kifo eti mwenye mbwa amempa jina immigration.Ntamuita mbwa wangu Faru John vipi wadau siruhusiwi pia? Maana nimezoea kupitia hizi stori za Faru John kama imezuiwa niwe namuita mbwa wangu tu ntaridhika
Gazeti gani nikalitafute nione
Na MASYAGA MATINYI- IKORONGO-GRUMETIGazeti gani nikalitafute nione
Humjui MSALANI vizuri nini?Mkuu kwema?? Kitambo nakumbuka nilikuchukia kisa uliisapoti sisiemu but now heko ALLAN
Wanajitekenya wanacheka wenyewe. Poor government everSerikali imepiga marufuku mamlaka zake zote kutoa tamko,kulizungumzia, ama kulitolea ufafanuzi suala la Faru John hadi hapo taarifa rasmi ya Tume ya Waziri Mkuu itakapomaliza uchunguzi na kutoa ripoti.
Akiwa katika siku ya pili ya ziara ya kikazi wilayani Ngorongoro ambayo ililenga kukagua changamoto za uhifadhi Na kufuatilia utekelezaji wa maelekezo ya waziri mkuu naibu waziri wa maliasili na utalii Ramo Makani amesema kwa sasa hakuna mamlaka nyingine za serikali chini ya waziri mkuu zenye ruksa au mamlaka ya kutoa ripoti ya faru John zaidi yake kwa kuwa suala hilo bado linafanyiwa uchunguzi.
Wakati huo huo serikali imeunda kamati maalum ya kushughulikia mgogoro wa pori tengefu la Loliondo kwa kuwakutanisha wadau wote muhimu na wenye maslahi katika eneo hili ili kumaliza mgogoro huo sugu uliodumu kwa zaidi ya miaka thelathini.
Awali mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Rashid Taka amesema kamati hiyo inatarajiwa kuleta Mwanga Mpya wa Loliondo kwa kuwa nia ya serikali ni kuona mgogoro wa eneo hilo unamalizika kwa maslahi ya nchi,wananchi na wawekezaji huku mmoja wa wawekezaji katika pori hilo mkurugenzi wa OBC Izak Mollel akitoa angalizo kuhusu kamati hiyo.
Faru John aliyekufa akiwa na umri wa miaka 38 alihamishwa kutoka mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro na kupelekwa katika eneo la Sasakwa Grumet Serengeti.
SOURCE:
CHANNEL TEN ONLINE
Ni nitamwita kwa kifupi yaani FARU JO.Hahaha na la john tusiliongelee tena kahh nchi imekua darasa sasa anayepiga kelele kipondo. [HASHTAG]#freedom[/HASHTAG]