Serikali yapiga marufuku kuzungumzia suala la Faru John

Lilianza neno ki.laza likafuata ukuta sasa faru john sijui litafuata lipi tena labda litafuata jina melo
 
Faru John kiumri ni kaka yangu kabisa ila tu yeye ana watoto wengi na fujo sana
 
End of the story. Kwa ufafanuzi wa magazeti, hii habari imefika mwisho. Kinachofanyika ni kulinda heshima ya Waziri Mkuu tu.

KADA
 
unaweza usijiandae kuongoza ukapewa nafasi na ukaweza kuongoza

hawa hawakujiandaa, hawawezi na hata wakipelekwa semina hawataweza
Taifa linalo nyemelewa na njaa kubwa mwezi wa February lkn wanajiandaa kumtafuta Faru John
Hawa wameshindwa kabisa
 
Tuache mambo ya ajabu sisi watu wa nchi hii.., tumelaaniwa na nani!?

.., leo nimepitia baadhi ya vichwa vya habari vya magazeti kadhaa.., nakutana na habari yenye kusomeka "SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIJADALA NA MATUMIZI YA FARU JOHN".., nimeshtuka na kushangaa sana.., nikajisemea mwenyewe.., kuna nini katiia vichwa vya hawa watu..!?

., hili suala la FARU JOHN siyo 'issue' ya mtu.., ni Issue ya watanzania wote, kwa sababu ile ni rasilimali na nyara ya umma.., sasa mnataka mjadala wa kuhusu ujangili uendelee wakati huo-huo mnataka Faru John asihusishwe katika mjadala huo.., mnatumia akili zipi ninyi ndugu.!? Au Faru John (ni mtu na siyo mnyama!?)

..., kama mlikuwa hamtaki Watanzania wajue kuhusu hili tukio la ujangili wa Faru, msingeliwaita waandishi wa habari na kusema na kueleza kwa machungu yale.., kumbe mlikuwa mnachekesha umati tu..., sasa baada ya kuona suala hili linawatafuna mnataka kutumia ubabe wenu watanzania wasijadili tena.., mnacheza na akili za watu wazima siyo watoto wenu.., tambueni hilo..,

Tulijadili RICHMOND, ESCROW, EPA, METEMETA, TANGOLD, RADA, LUGUMI (ingawa mlikingiana vifua hapo), tumejadili ufisadi, rushwa, ubadhirifu, ujangili, wizi, ujambazi, maadili ya viongozi wa umma, leo tunajadili kuhusu FARU JOHN mnataka kutupiga kimya kwa lazima, tena mjadala ambao ninyi ndiyo waanziloshi.., mambo ya ajabu sana haya!

.., sasa niwaeleze tu.., kuhusu ujangili wowote na mali asili zetu, hakuna mtu anaweza kutuziba midomo, hakuna mtu anaweza kunichagulia niseme nini kuhusu kudai rasilimali na mali asili za nchi yangu.., tunasema hivi, TUNATAKA MUACHE MAIGIZO YENU.., MRUDISHENI FARU JOHN HARAKA SANA.., lasivyo, wale waliohusika kwenye dili hilo wafikishwe mahakamani na wanyeshewe mvua ya mawe.., miaka 200!

>> hamtaki tuseme tena kuhusu FARU JOHN (maji ya shingo) lakini wakati huo-huo mnataka tuwapigie makofi ya kuwapongeza kwa kusema HAPA KAZI TU wakati nyara za serikali zinapotea hadharani tu.., shame on you!

AU HAMPEMDI TENA WATU WATUMIE JINA LA HUYO FARU 'JOHN'.., maana ninyi watu kwa kuishi kwenye kivuli chenu.. Mmebarikiwa sana.., waoga hadi kwenye mwanga!
 
Tuache mambo ya ajabu sisi watu wa nchi hii.., tumelaaniwa na nani!?

.., leo nimepitia baadhi ya vichwa vya habari vya magazeti kadhaa.., nakutana na habari yenye kusomeka "SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MIJADALA NA MATUMIZI YA FARU JOHN".., nimeshtuka na kushangaa sana.., nikajisemea mwenyewe.., kuna nini katiia vichwa vya hawa watu..!?

., hili suala la FARU JOHN siyo 'issue' ya mtu.., ni Issue ya watanzania wote, kwa sababu ile ni rasilimali na nyara ya umma.., sasa mnataka mjadala wa kuhusu ujangili uendelee wakati huo-huo mnataka Faru John asihusishwe katika mjadala huo.., mnatumia akili zipi ninyi ndugu.!? Au Faru John (ni mtu na siyo mnyama!?)

..., kama mlikuwa hamtaki Watanzania wajue kuhusu hili tukio la ujangili wa Faru, msingeliwaita waandishi wa habari na kusema na kueleza kwa machungu yale.., kumbe mlikuwa mnachekesha umati tu..., sasa baada ya kuona suala hili linawatafuna mnataka kutumia ubabe wenu watanzania wasijadili tena.., mnacheza na akili za watu wazima siyo watoto wenu.., tambueni hilo..,

Tulijadili RICHMOND, ESCROW, EPA, METEMETA, TANGOLD, RADA, LUGUMI (ingawa mlikingiana vifua hapo), tumejadili ufisadi, rushwa, ubadhirifu, ujangili, wizi, ujambazi, maadili ya viongozi wa umma, leo tunajadili kuhusu FARU JOHN mnataka kutupiga kimya kwa lazima, tena mjadala ambao ninyi ndiyo waanziloshi.., mambo ya ajabu sana haya!

.., sasa niwaeleze tu.., kuhusu ujangili wowote na mali asili zetu, hakuna mtu anaweza kutuziba midomo, hakuna mtu anaweza kunichagulia niseme nini kuhusu kudai rasilimali na mali asili za nchi yangu.., tunasema hivi, TUNATAKA MUACHE MAIGIZO YENU.., MRUDISHENI FARU JOHN HARAKA SANA.., lasivyo, wale waliohusika kwenye dili hilo wafikishwe mahakamani na wanyeshewe mvua ya mawe.., miaka 200!

>> hamtaki tuseme tena kuhusu FARU JOHN (maji ya shingo) lakini wakati huo-huo mnataka tuwapigie makofi ya kuwapongeza kwa kusema HAPA KAZI TU wakati nyara za serikali zinapotea hadharani tu.., shame on you!

AU HAMPEMDI TENA WATU WATUMIE JINA LA HUYO FARU 'JOHN'.., maana ninyi watu kwa kuishi kwenye kivuli chenu.. Mmebarikiwa sana.., waoga hadi kwenye mwanga!
Labda ilikua story
 
Back
Top Bottom