Serikali Yangu ijitathmini, tunapopoteza Marafiki Kama Denmark tukijidanganya ma Wachina tunashida

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,744
Wa Denish ... Hawa ni moja ya Wazungu wastaarabu sana. Nmekaa kwao, nmefanya nao kazi katika Miradi yao Mbalimbali. Sikuwahi Baguliwa, Dharauliwa au Kubagazwa.

Ingawa sisemi kuwa wanakosekana kabisa wabaguzi katikati yao. Ni binadamu. Sisi wenyewe waafrika tunabaguana.

Nasikitika sana wanapoondoka na kuondoa Ubalozi. Inaniuma kutoka na Miradi mingi ambayo wameifanya hapa nchini. Nachelea kuitaja kwa kuogopa ku ji expose. Maana nitaweka details ambazo inawezekana kabisa nikawa traced.

Tunawakumbatia sana wachina . Wachina wa sasa si wa miaka ile. Wale walikuwa wana utu au wamefundishwa utu. Hawa wa sasa ni hatari zaidi ya Mabeberu. Wachina wanatafuta kujitanua kwa kila namna kiuchumi.jambo ambalo si baya. But uhalisia ni kuwa gharama ya kulipia uhuru tunaouza kwa wachina ni kubwa sana.

Kwa sasa wameruhusiwa kuzaa zaidi kwa kujua kuwa wataleta kizazi chao nchi za Africa kuja kututawala. Hawa wachina ni wakatili na wenye dharau sana kwa waafrika. Mimi nlipewa onyi miaka kadhaa kwa kuwa nadate Binti wa Kichina nchini China. Yule bint alilia sana nlipomwambia tuachane sababu ndugu zake wanasema namwambukiza magonjwa.

But nlienda pata binti mkali wa Kidenish ambaye kwa kweli tulipendana sana. Nikiwa ndo nmeanzisha njia kwake. Sikuwahi baguliwa kwao. And she was so proud of me. Kiasi ndugu zake wakawa wanaomba niwapatie wadogo zangu nao watambe.

Leo mashemeji zangu na wakwe wanaondoka TZ... Inaniuma sana.nikifikiria haya yote napatwa na huzuni.
 
Duh kwa nini wanaondoka kipindi cha kukaribia uchaguzi mkuu? Huu ni mtego kwa serikali.
 
Hakuna watu wa hovyo kama wachina.

Nimefanya kazi na Wamarekani, Waingereza, Wacanada, Waaustralia, Warusi, Wachina, Makaburu, Wafaransa, Wabrazil, Wachile, Waholanzi, na waafrika wa mataifa mbalimbali. Katika wote, ambaye angekuwa wa mwisho kutaka kufanya naye kazi ni Mchina.

Mchina kwa asili yake haoni thamani ya uhai na utu wa mwanadamu.

Nordic countries ndiyo zinazoongoza kwa utu na ustaarab Duniani. Kama ukishindwa kuelewana na hawa watu, sijui utaweza kuelewana na kiumbe gani hapa Duniani.

Lakini kwa ujumla, katika suala la kuthamini utu, mataifa yote ya Ulaya Magharibi na America, yapo juu sana kuzidi mataifa ya Afrika. Waafrika wanateswa, kuonewa na kuuawa na waafrika wenzao, tena mara nyingi na watawala wao wenyewe. Watawala wa Afrika ni aheri ya fisi maana huwezi kuona fisi anamwua mtoto wake au mtoto wa fisi mwingine. Watawala wa Afrika wanawatesa na wakati fulani hata kuwaua watu wao wanaowaongoza!! Leo mtu kama Mbowe, hajabbikiwa kesi na wazungu bali na utawala wa Samia. Kuna mahabusu wanateswa, wanapigwa na wengine kuuawa kwenye mahabusu za polisi, wanafanyiwa hayo yote na polisi Watanzania wenzao. Ndiyo maana kuna wakati unawaamini wale wanaosema evolution kwa mwafrika, haikukamilika.
 
Wa Denish ... Hawa ni moja ya Wazungu wastaarabu sana. Nmekaa kwao, nmefanya nao kazi katika Miradi yao Mbalimbali. Sikuwahi Baguliwa, Dharauliwa au Kubagazwa.

Ingawa sisemi kuwa wanakosekana kabisa wabaguzi katikati yao. Ni binadamu. Sisi wenyewe waafrika tunabaguana.

Nasikitika sana wanapoondoka na kuondoa Ubalozi. Inaniuma kutoka na Miradi mingi ambayo wameifanya hapa nchini. Nachelea kuitaja kwa kuogopa ku ji expose. Maana nitaweka details ambazo inawezekana kabisa nikawa traced.

Tunawakumbatia sana wachina . Wachina wa sasa si wa miaka ile. Wale walikuwa wana utu au wamefundishwa utu. Hawa wa sasa ni hatari zaidi ya Mabeberu. Wachina wanatafuta kujitanua kwa kila namna kiuchumi.jambo ambalo si baya. But uhalisia ni kuwa gharama ya kulipia uhuru tunaouza kwa wachina ni kubwa sana.

Kwa sasa wameruhusiwa kuzaa zaidi kwa kujua kuwa wataleta kizazi chao nchi za Africa kuja kututawala. Hawa wachina ni wakatili na wenye dharau sana kwa waafrika. Mimi nlipewa onyi miaka kadhaa kwa kuwa nadate Binti wa Kichina nchini China. Yule bint alilia sana nlipomwambia tuachane sababu ndugu zake wanasema namwambukiza magonjwa.

But nlienda pata binti mkali wa Kidenish ambaye kwa kweli tulipendana sana. Nikiwa ndo nmeanzisha njia kwake. Sikuwahi baguliwa kwao. And she was so proud of me. Kiasi ndugu zake wakawa wanaomba niwapatie wadogo zangu nao watambe.

Leo mashemeji zangu na wakwe wanaondoka TZ... Inaniuma sana.nikifikiria haya yote napatwa na huzuni.
Tatizo la nchi yetu ni mfumo mbovu mpaka tunakimbiwa na marafiki zetu. Mama aache siasa uchwara tunarudi nyuma.
 
Wa Denish ... Hawa ni moja ya Wazungu wastaarabu sana. Nmekaa kwao, nmefanya nao kazi katika Miradi yao Mbalimbali. Sikuwahi Baguliwa, Dharauliwa au Kubagazwa.

Ingawa sisemi kuwa wanakosekana kabisa wabaguzi katikati yao. Ni binadamu. Sisi wenyewe waafrika tunabaguana.

Nasikitika sana wanapoondoka na kuondoa Ubalozi. Inaniuma kutoka na Miradi mingi ambayo wameifanya hapa nchini. Nachelea kuitaja kwa kuogopa ku ji expose. Maana nitaweka details ambazo inawezekana kabisa nikawa traced.

Tunawakumbatia sana wachina . Wachina wa sasa si wa miaka ile. Wale walikuwa wana utu au wamefundishwa utu. Hawa wa sasa ni hatari zaidi ya Mabeberu. Wachina wanatafuta kujitanua kwa kila namna kiuchumi.jambo ambalo si baya. But uhalisia ni kuwa gharama ya kulipia uhuru tunaouza kwa wachina ni kubwa sana.

Kwa sasa wameruhusiwa kuzaa zaidi kwa kujua kuwa wataleta kizazi chao nchi za Africa kuja kututawala. Hawa wachina ni wakatili na wenye dharau sana kwa waafrika. Mimi nlipewa onyi miaka kadhaa kwa kuwa nadate Binti wa Kichina nchini China. Yule bint alilia sana nlipomwambia tuachane sababu ndugu zake wanasema namwambukiza magonjwa.

But nlienda pata binti mkali wa Kidenish ambaye kwa kweli tulipendana sana. Nikiwa ndo nmeanzisha njia kwake. Sikuwahi baguliwa kwao. And she was so proud of me. Kiasi ndugu zake wakawa wanaomba niwapatie wadogo zangu nao watambe.

Leo mashemeji zangu na wakwe wanaondoka TZ... Inaniuma sana.nikifikiria haya yote napatwa na huzuni.

Nimekuelewa ndugu, unasema kweli , lakini sasa wewe umejifunza nini ? Ninamaanisha, Denish, Wa china, Wazungu, wao wote, watapita, wewe vipi utabadilika mambo kwa ajili ya watu wako weusi ?
Wewe ni mtu mzima, si mtoto wakati wa ukoloni, si mchina au danish kuamua kwako.
Don't be like those people that Malcolm X used to call : "House negro. (Uncle tom)" Ina maana Mtumwa ambayo hawezi kuishi bila Bwana wake mzungu.

No offence
 
Wa Denish ... Hawa ni moja ya Wazungu wastaarabu sana. Nmekaa kwao, nmefanya nao kazi katika Miradi yao Mbalimbali. Sikuwahi Baguliwa, Dharauliwa au Kubagazwa.

Ingawa sisemi kuwa wanakosekana kabisa wabaguzi katikati yao. Ni binadamu. Sisi wenyewe waafrika tunabaguana.

Nasikitika sana wanapoondoka na kuondoa Ubalozi. Inaniuma kutoka na Miradi mingi ambayo wameifanya hapa nchini. Nachelea kuitaja kwa kuogopa ku ji expose. Maana nitaweka details ambazo inawezekana kabisa nikawa traced.

Tunawakumbatia sana wachina . Wachina wa sasa si wa miaka ile. Wale walikuwa wana utu au wamefundishwa utu. Hawa wa sasa ni hatari zaidi ya Mabeberu. Wachina wanatafuta kujitanua kwa kila namna kiuchumi.jambo ambalo si baya. But uhalisia ni kuwa gharama ya kulipia uhuru tunaouza kwa wachina ni kubwa sana.

Kwa sasa wameruhusiwa kuzaa zaidi kwa kujua kuwa wataleta kizazi chao nchi za Africa kuja kututawala. Hawa wachina ni wakatili na wenye dharau sana kwa waafrika. Mimi nlipewa onyi miaka kadhaa kwa kuwa nadate Binti wa Kichina nchini China. Yule bint alilia sana nlipomwambia tuachane sababu ndugu zake wanasema namwambukiza magonjwa.

But nlienda pata binti mkali wa Kidenish ambaye kwa kweli tulipendana sana. Nikiwa ndo nmeanzisha njia kwake. Sikuwahi baguliwa kwao. And she was so proud of me. Kiasi ndugu zake wakawa wanaomba niwapatie wadogo zangu nao watambe.

Leo mashemeji zangu na wakwe wanaondoka TZ... Inaniuma sana.nikifikiria haya yote napatwa na huzuni.
Matokeo ya janjajanja ya mbongo na ubinafsi waliojipa umiliki wa kila kitu.
 
Back
Top Bottom