Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,616
- 64,475
Salamu sana.
Hapa nakaribia kupasuka kwa uhuni niliofanyiwa na bodi ya mikopo.
Imekuwaje mtoto wa mimi mkulima asipewr mkopo hata senti moja.
Kasoma shule za kidumu na mfagio tokea msingi hadi a levo.
Mtoto wa kike kajitahidi kapata div moja. Jkt kwa mujibu kaende. Leo wanasema eti budget exhausted.
Bado sijaelewa somo
Tena mi nalalamika kivyangu. Na wewe ulalamike yako.
Chanzo cha kuifilisi bajeti ya masomo ya juu kipo hapa.
Hapa nakaribia kupasuka kwa uhuni niliofanyiwa na bodi ya mikopo.
Imekuwaje mtoto wa mimi mkulima asipewr mkopo hata senti moja.
Kasoma shule za kidumu na mfagio tokea msingi hadi a levo.
Mtoto wa kike kajitahidi kapata div moja. Jkt kwa mujibu kaende. Leo wanasema eti budget exhausted.
Bado sijaelewa somo
Tena mi nalalamika kivyangu. Na wewe ulalamike yako.
Chanzo cha kuifilisi bajeti ya masomo ya juu kipo hapa.