Serikali yangu haijanitendea haki

Serikali yangu haijanitendea haki

Mamndenyi

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
44,616
Reaction score
64,475
Salamu sana.
Hapa nakaribia kupasuka kwa uhuni niliofanyiwa na bodi ya mikopo.
Imekuwaje mtoto wa mimi mkulima asipewr mkopo hata senti moja.

Kasoma shule za kidumu na mfagio tokea msingi hadi a levo.

Mtoto wa kike kajitahidi kapata div moja. Jkt kwa mujibu kaende. Leo wanasema eti budget exhausted.

Bado sijaelewa somo

Tena mi nalalamika kivyangu. Na wewe ulalamike yako.

Chanzo cha kuifilisi bajeti ya masomo ya juu kipo hapa.
 
Sema na wewe Mamndenyi mara nyingi umekuwa mtetezi wa hawa wahuni na mafisadi sasa leo yamekukuta. Pole sana waonyeshe jinsi unavyowatetea humu ndani labda wanaweza kukuona damu damu na kuamua wabadili maamuzi yao. Vinginevyo mtumie yule kingunge wa MACCM aliye nchi za nje akupigiea debe kwa watu wake...you know what I am talking about...ukiendelea kuwaunga mkono kama binti asipopata mkopo nitakushangaa sana. Ni hayo tu na usisahau mrejesho. Pole sana usinune sana unaweza kuja pasuka bure.
 
Last edited by a moderator:
Sema na wewe Mamndenyi mara nyingi umekuwa mtetezi wa hawa wahuni na mafisadi sasa leo yamekukuta. Pole sana waonyeshe jinsi unavyowatetea humu ndani labda wanaweza kukuona damu damu na kuamua wabadili maamuzi yao. Vinginevyo mtumie yule kingunge wa MACCM aliye nchi za nje akupigiea debe kwa watu wake...you know what I am talking about...ukiendelea kuwaunga mkono kama binti asipopata mkopo nitakushangaa sana. Ni hayo tu na usisahau mrejesho. Pole sana usinune sana unaweza kuja pasuka bure.

BAK waite kwa majina yao hapa. Sijajua ni kwa nini wananifanyia huu uhuni.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mwalimu M Manyigu hivi uko wapi? Watoto wamefaulu eti mikopo wamenyimwa.
 
Kwani alipokuwa anachagua course za kusoma,alichagua za priority?
 
Kipaumbele ni kwa wanao chukua ualimu au course za ya sayansi!
Kuna vigezo vingi vinaangaliwa si kwasababu tuu amesoma shule ya kayumba!
Kuna course za vipaumbele!
 
Amechagua kozi ya priorty. Na kapangiwa hiyo hiyo. Kweli asipewe hata single cent. Hii nchi imekuwaje.

Priority ukimaanisha Education au Udaktari? Si kila course ya sayansi ni priority course! Hebu tusaidie kwa kuweka hapa course yake!
 
Amechagua kozi ya priorty. Na kapangiwa hiyo hiyo. Kweli asipewe hata single cent. Hii nchi imekuwaje.

Sidhani kama ni kweli maana wengi niliowaona na pia mdogo wangu naye kapata mkopo walichagua priorities course!!kama imetokea mtoto wako hajapata kuna walakini hapo!!nenda bodi ya mikopo nadhani watakuelewa na watakutatulia hilo tatizo
 
Kipaumbele ni kwa wanao chukua ualimu au course za ya sayansi!
Kuna vigezo vingi vinaangaliwa si kwasababu tuu amesoma shule ya kayumba!
Kuna course za vipaumbele!

Jaji nimekusoma. Wapo waliopewe ambao siyo kipaumbele. Tena sikatai kupewa ila wangefanya uwiano. Why not priorty apewe 100% kwa nini wasiwe 50%.?.. wangempa hata kidogo.

Ina maana shule zetu hazifai?
 
Sidhani kama ni kweli maana wengi niliowaona na pia mdogo wangu naye kapata mkopo walichagua priorities course!!kama imetokea mtoto wako hajapata kuna walakini hapo!!nenda bodi ya mikopo nadhani watakuelewa na watakutatulia hilo tatizo


Please najuwa ninachokisema. Usinifundishe. Amechagua logistics and transport mgt.

Unataka kusema sijui?
 
Mamndenyi

POLE SANA LEO UMEONA UHUNI WA SERIKALI AMBAYO KUTWA KUCHAA HUISHI KUISIFIA..,, SERIKALI IKO BIZE NA MATUMIZI YA KIJINGA, SAFARI ZA KIJINGA ZA JK NA MISURURU YA WATU 200 HADI 500 BILA SABABU..HAKUNA MIPANGO YA KUWEKEZA KATIKA ELIMU.. TENA SI MTOTO WAKO TU WAKO WATOTO ZAIDI YA 450 WAMEKOSA MIKOPO, NA SABABU HAZIELEWEKI, WAMETANUA MAGOLI ILI WATOTO WAFAURU, LAKINI PESA ZILIENDA KUTUMIKA KUKATA MAUNO BMK.. WAKATI KUNA MAMBO YA MUHIMU KAMA HAYO HAKUNA PESA, KWA SASA HATA HALMASHAURI WATUMISHI WAKO BIZE NA FACEBOOK HAKUNA PESA ZA MIRADI ETC.

NDIO UONE UPUUZI WA SERIKALI YAKO UNAYOISHABIKIA KILA SIKU, ETI WANATUMIA PESA KUENDESHA MATAMASHA YA KIJINGA TU,.,. OHH SIJUI NAIFAGILIA TANZANIA, MARA TAMASHA LA MPIRA VIONGOZI WA DINI..

HAYO NDIYO MAVUNO YA KUSHABIKIA CHAMA CHA WAPUUZI, ... MAANA KATIBU MKUU WA CHAMA CHAKO MWENYEWE AMEKIRI NI MPUUZI NA CHAMA CHOTE NI WAPUUZI INCLUDING .
...
 
Priority ukimaanisha Education au Udaktari? Si kila course ya sayansi ni priority course! Hebu tusaidie kwa kuweka hapa course yake!

Kabla yakunijibu soma kitabu cha tcu guideline cha mwaka huu.
 
Mkopo nimekosa ngoja nirud mtaa
Kwa hali hii elim ya juu nimeimpa mgongo

###watt wa wakulima hatutaweza kuxoma

***shikamoo HESLB****
 
Back
Top Bottom