Serikali yakiri kununua vichwa vya SGR Mitumba

Serikali yakiri kununua vichwa vya SGR Mitumba

Haya yamejulikana leo baada ya Mkuu wa Shirika la Reli ndugu Kadogosa kuyasema mbele ya Dkt Samia .

Nachukua nafasi hii kuwapongeza wadau wa JF waliofumua mambo haya hadharani hata kabla haijajulikana .

Sasa ni dhahiri JF ndio chanzo cha Uhakika cha Taarifa za kweli .
Mbona Samia alishasema tutaanzia na bichwa vikuukuu,ulikua wapi!?
 
Juzi tuu mlikuwa mnatukana watu waliosema mabehewa ni USED na hukusema huo upuuzi wa kuanzia mitumba, hata kama ni uchawa muwe na standard kidogo
Rais alisema tutaanzia mitumba,shida mnatafuta Cha kunung'unikia msio na jema
 
Haya yamejulikana leo baada ya Mkuu wa Shirika la Reli ndugu Kadogosa kuyasema mbele ya Dkt Samia .

Nachukua nafasi hii kuwapongeza wadau wa JF waliofumua mambo haya hadharani hata kabla haijajulikana .

Sasa ni dhahiri JF ndio chanzo cha Uhakika cha Taarifa za kweli .
Walisema tangu mwanzo, train ya ghorofa toka germany itakua refurbished, 😁,, tafuta ajenda zingine za kufanya siasa, kama mmeishiwa mbinu toeni hela think tank tuingia mzigoni😂
 
Hivi vile vya kuokotwa bandarini siku hizi havipo? Mwendazake alikuwa na kismati sana yeye kila akitia guu bandarini lazima aokote vichwa vipyaaa zero km.
Hahaa...we jamaa nimecheka sana
 
Walisema tangu mwanzo, train ya ghorofa toka germany itakua refurbished, [emoji16],, tafuta ajenda zingine za kufanya siasa, kama mmeishiwa mbinu toeni hela think tank tuingia mzigoni[emoji23]
Sasa labda umwambie Kadogosa , kama walisema tangu awali Kadogosa anayarudia kwa Hangaya ili iweje ?
 
Sasa labda umwambie Kadogosa , kama walisema tangu awali Kadogosa anayarudia kwa Hangaya ili iweje ?
Msemaji wa chadema ukiishiwa nondo ni shida sana. Hii issue ilishasemwa long time ago, inashangaza kwako imekuwa issue mpya! Chadema ya sasa kuna ugonjwa wa kuelewa mambo, kama siyo wa kupoteza kumbukumbu.
 
Only fools will support CCM.
Foolswillalways be fools. Walileta Uhuru 1961, fools. Wakatugomboa Utumwa wa Waarabu 1964, fools. Wakatugomboa Vita vya Kagera, fools. Kufika 1977 wakatuungamisha , fools. Wametupa multiparty 1992, fools. Ilani yao nzuri wakajishindia multiparty, fools. Mwaka 2020 wakazoa 87%/13% wakambwaga tundulissu, fools. Kaja Samia, fool. Bring on the nonfools.
 
Haya yamejulikana leo baada ya Mkuu wa Shirika la Reli ndugu Kadogosa kuyasema mbele ya Dkt Samia .

Nachukua nafasi hii kuwapongeza wadau wa JF waliofumua mambo haya hadharani hata kabla haijajulikana .

Sasa ni dhahiri JF ndio chanzo cha Uhakika cha Taarifa za kweli .
Hatimaye wamesema ukweli bado kwenye bei sasa
 
Back
Top Bottom