Serikali yakiri kununua vichwa vya SGR Mitumba

Serikali yakiri kununua vichwa vya SGR Mitumba

Mi kile kitendo cha mtu kujenga kituo cha petroleum pale njian kimara kimenikatisha tamaa kabisa aisee. Nikimkumbuka yule Mzee wa kipemba waliemvunjia nyumba yake kwamba iko njian naumia sana.
Nyumba ni makazi ya kudumu ya mtu.
Kile kituo kimejengwa kwa mkataba, siku wakitaka barabara yao kinaondolewa bila fidia
 
Si afadhali yeye mwendo wake alishaumaliza; kuna jingine liko huko ulaya linafumuliwa malinda na akina rob amster, na mwendo likiumaliza linaenda motoni moja kwa moja bila hata kupitia purgatory!
Wewe mbona unaingiliwa kinyume cha maumbile na watoto waendesha bodaboda pale bondeni ukilewa unaanguka.kifudifudi wakikubokoa unadai wamebokoa pombe. Unazeeka na uchoko wako.
 
Sasa labda umwambie Kadogosa , kama walisema tangu awali Kadogosa anayarudia kwa Hangaya ili iweje ?
Tatizo la awamu hii, wanataka sana kuwalidhisha wananchi,, ndo maana ufafanuzi kila mara,, sisi wapinzani tulimpenda sana JPM maana yeye ilikua amri moja, upende usipende, utajua mwenyewe,,
Sisi hatujazoea viongozi wapole wapole,, 😁
 
Wewe mbona unaingiliwa kinyume cha maumbile na watoto waendesha bodaboda pale bondeni ukilewa unaanguka.kifudifudi wakikubokoa unadai wamebokoa pombe. Unazeeka na uchoko wako.
Umenoaa, kwanza pombe sinywi. Imekula kwako bwashee. Usidhani kwa kuwa wewe unafanyiwa hivyo basi kila mtu anafanywa hivyo.
Zaidi ya hapo mimi siyo mfuasi wa huyo jamaa mshikishwa ukuta!
 
Umenoaa, kwanza pombe sinywi. Imekula kwako bwashee. Usidhani kwa kuwa wewe unafanyiwa hivyo basi kila mtu anafanywa hivyo.
Zaidi ya hapo mimi siyo mfuasi wa huyo jamaa mshikishwa ukuta!
Unakataa nini na wanaokufokoa ndiyo wanayamwaga vijiweni? Kubwa zima unaliwa tigo.
 
Daah yani matrilioni yote yale wameenda kuuziwa mtumbaaa....aibu
Kuna muda unakaa unaangalia vitu vinavyotokea na kufanywa na watu tuliowapa dhamana unabaki kusikitika tu, ila ndio hivo tulishazoea na wao wanajua watanzania tulivo, sad
 
Kuna muda unakaa unaangalia vitu vinavyotokea na kufanywa na watu tuliowapa dhamana unabaki kusikitika tu, ila ndio hivo tulishazoea na wao wanajua watanzania tulivo, sad
Alafu mama anaongea kwa amani zotee kama anasupport huu ujingaa... vingozi wa shirika wanakula maisha tu as if nothing happened mwisho wa siku inaonekana huu mradi wanakula hela ni wakubwaa ndo maana hawa vidagaa watamba na kujibu wanavyotaka.
 
Back
Top Bottom