mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,317
hawa hawajui tz kwa umbea na uzushi haishikiki bara hili.acha mchezo wanaoucheza watajifunza tena kwetu muda si mrefu.subiri tuwaandalie kibomu.Hivi, ikitokea leo Watanzania wakasambaza taarifa, kwa TV au mitandao ya kijamii kwamba Wakenya 1000 wamekufa kwa Corona, Wakenya wataamini na kushangilia? Inashangaza baadhi ya watu kuamini zaidi takwimu za nje kuliko za ndani. Hata kama una wasiwasi na takwimu za nchi yetu, kwa nini ushangilie takwimu zinazotoka nchi nyingine kuhusu nchi yako. Unafanya hivyo ili iweje? Wakenya wameripoti watu 17 tu ndio wamefarki kwa Corona hadi jana. Unaamini idadi hii? Kama watu wanaweza kusema Mlima Kilimanjaro na Oldvai Goarge viko Kenya, tena wanasema hivyo waziwazi kwenye tv, unatumia akili gani kuamini takwimu wanazotoa kuhusu Corona juu ya nchi yako? Na unaanzaje kuwaunga mkono?
Sent using Jamii Forums mobile app