Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imefunga tovuti, akaunti za mitandao ya kijamii, blogu na majukwaa 80,171 yaliyokuwa yakichapisha maudhui yanayokiuka maadili na kuhatarisha afya ya akili ya watoto.
Kauli hiyo imetolewa Bungeni jijini Dodoma leo, Jumatatu Mei 5, 2025 na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwijuma, alipojibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Ng'wasi Kamani, kuhusu mpango wa Serikali kudhibiti maudhui hatarishi kwenye mitandao.
Kauli hiyo imetolewa Bungeni jijini Dodoma leo, Jumatatu Mei 5, 2025 na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwijuma, alipojibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Ng'wasi Kamani, kuhusu mpango wa Serikali kudhibiti maudhui hatarishi kwenye mitandao.