Serikali yafilisika, yahaha kupata mkopo kulipa wabunge

Mi nadhani katika watu ambao serikali haitakiwi kuumiza kichwa kuwalipa ni wabunge, hawa ni wavumilivu, waelewa, wanaipenda nchi na hivyo hawawezi kamwe kuisumbua serikali kwa sababu ya pesa ambazo watalipwa hali ikiwa sawa "kama kweli hakuna".

Wanajitolea kwa wito mkuu na wala hawajali maslahi yao binafsi, hakika serikali isisumbuke kama hili ni kweli!!!!

Ni wazalendo watavumilia

Kabisa mkuu maana kila siku wanatetea serekali.
 
Wakuu,

Hii sasa ni aibu na fedheha kwa serikali yetu tukufu ya chama cha mapinduzi, serikali tukufu isiyo na mbinu makini ya kukusanya mapato, serikali tukufu isiyo na dira wala mwelekeo.

Habari za uhakika ni kwamba serikali imeshindwa kulipa hata wabunge, achilia mbali mambo mengine, wabunge toka tarehe 15/6/2014 hawajalipwa posho wala sitting allowance, ambapo kabla ya hapo serikali ilichukua fedha benki (overdraft), ikalipa stahili za wabunge hadi tarehe 14/6/2014, baada ya hapo haijaweza kukopa tena fedha.

Hali iliyopo sasa ni mbaya, serikali imefikia kwenda kumpigia magoti Bakhresa ili aisaidie mkopo wa kulipa wabunge. Jitihada zilizopo kwa serikali ni kupata mkopo haraka kwa tajiri yeyote mkubwa ili iweze kuendesha bunge na kulipa stahili za wabunge!

Serikali yafilisika!!

Nawasilisha

Uhakika wa taarifa???????????? Au ni kick
 
Kama wabunge hawajalipwa hawa JF buku saba kwa wiki watalipwa kweli?

Ndio maana wamekuwa wakali sana buku saba fc
 
Ndiyo maana wabunge karibu wote wamekimbia wako mitaani, bungeni hakuna maslahi. Nimemsikia leo Naibu Spika anawaomba tena kwa upole ifikapo keshio wabunge wote wawe Dodoma kwa ajili ya upigaji kura kupitisha bajeti kuu
 
Wakuu,

Hii sasa ni aibu na fedheha kwa serikali yetu tukufu ya chama cha mapinduzi, serikali tukufu isiyo na mbinu makini ya kukusanya mapato, serikali tukufu isiyo na dira wala mwelekeo.

Habari za uhakika ni kwamba serikali imeshindwa kulipa hata wabunge, achilia mbali mambo mengine, wabunge toka tarehe 15/6/2014 hawajalipwa posho wala sitting allowance, ambapo kabla ya hapo serikali ilichukua fedha benki (overdraft), ikalipa stahili za wabunge hadi tarehe 14/6/2014, baada ya hapo haijaweza kukopa tena fedha.

Hali iliyopo sasa ni mbaya, serikali imefikia kwenda kumpigia magoti Bakhresa ili aisaidie mkopo wa kulipa wabunge. Jitihada zilizopo kwa serikali ni kupata mkopo haraka kwa tajiri yeyote mkubwa ili iweze kuendesha bunge na kulipa stahili za wabunge!

Serikali yafilisika!!

Nawasilisha
Hivi ikitokea Bakhressa siku moja kakwepa kodi watamfanya nini?
 
Wakuu,

Hii sasa ni aibu na fedheha kwa serikali yetu tukufu ya chama cha mapinduzi, serikali tukufu isiyo na mbinu makini ya kukusanya mapato, serikali tukufu isiyo na dira wala mwelekeo.

Habari za uhakika ni kwamba serikali imeshindwa kulipa hata wabunge, achilia mbali mambo mengine, wabunge toka tarehe 15/6/2014 hawajalipwa posho wala sitting allowance, ambapo kabla ya hapo serikali ilichukua fedha benki (overdraft), ikalipa stahili za wabunge hadi tarehe 14/6/2014, baada ya hapo haijaweza kukopa tena fedha.

Hali iliyopo sasa ni mbaya, serikali imefikia kwenda kumpigia magoti Bakhresa ili aisaidie mkopo wa kulipa wabunge. Jitihada zilizopo kwa serikali ni kupata mkopo haraka kwa tajiri yeyote mkubwa ili iweze kuendesha bunge na kulipa stahili za wabunge!

Serikali yafilisika!!

Nawasilisha
Baadaye watakuwa na ubavu wa kumztoza kodi stahiki tajiri huyo?
 
unaongea tarifa nyeti na interested kwa wa TZ kujua ukweli wake hivyo ulitakiwa zingatia kale kamsemo ka wasomi...no evidence no right to speak.....hujitendei haki unapoongea maswali mazito pasi na facts zenye ushahidi...utagusa hisia za watu ila hutogusa bongo za wenye bongo.Rudi katafiti then tuletee 2nd draft...
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu. Bunge lina bajeti yake na fungu la bunge huwa haliingiliwi na serikali. By the way, hakuna hata mbunge mmoja aliyelalamika kwa kukosa posho

Mimi ni mmoja wa wadau ndani ya Bunge ni kweli hali si shwari mpaka sasa posho hakuna na Bunge pamoja na bajeti yake inapata toka Serikalini ila tumeamua kutolalamika kwa kuwa tatizo la malambikizo linawagusa wafanyakazi wa Kada mbalimbali ngoja tukomae tu
 
Wakuu,

Hii sasa ni aibu na fedheha kwa serikali yetu tukufu ya chama cha mapinduzi, serikali tukufu isiyo na mbinu makini ya kukusanya mapato, serikali tukufu isiyo na dira wala mwelekeo.

Habari za uhakika ni kwamba serikali imeshindwa kulipa hata wabunge, achilia mbali mambo mengine, wabunge toka tarehe 15/6/2014 hawajalipwa posho wala sitting allowance, ambapo kabla ya hapo serikali ilichukua fedha benki (overdraft), ikalipa stahili za wabunge hadi tarehe 14/6/2014, baada ya hapo haijaweza kukopa tena fedha.

Hali iliyopo sasa ni mbaya, serikali imefikia kwenda kumpigia magoti Bakhresa ili aisaidie mkopo wa kulipa wabunge. Jitihada zilizopo kwa serikali ni kupata mkopo haraka kwa tajiri yeyote mkubwa ili iweze kuendesha bunge na kulipa stahili za wabunge!

Serikali yafilisika!!

Nawasilisha

na bakhresa amesema hatoi kitu,waende kwa mengi sasa
 
Kati ya siku ambayo ntalala na viatu, ni siku ikitokea hawa mabwana na mabibi wamekosa mishahara na posho zao. Sheenz taip .....
 
Wakuu,

Hii sasa ni aibu na fedheha kwa serikali yetu tukufu ya chama cha mapinduzi, serikali tukufu isiyo na mbinu makini ya kukusanya mapato, serikali tukufu isiyo na dira wala mwelekeo.

Habari za uhakika ni kwamba serikali imeshindwa kulipa hata wabunge, achilia mbali mambo mengine, wabunge toka tarehe 15/6/2014 hawajalipwa posho wala sitting allowance, ambapo kabla ya hapo serikali ilichukua fedha benki (overdraft), ikalipa stahili za wabunge hadi tarehe 14/6/2014, baada ya hapo haijaweza kukopa tena fedha.

Hali iliyopo sasa ni mbaya, serikali imefikia kwenda kumpigia magoti Bakhresa ili aisaidie mkopo wa kulipa wabunge. Jitihada zilizopo kwa serikali ni kupata mkopo haraka kwa tajiri yeyote mkubwa ili iweze kuendesha bunge na kulipa stahili za wabunge!

Serikali yafilisika!!

Nawasilisha

Si wanasema Mengi ndiye tajiri wakamuombe huenda akawasaidia
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu. Bunge lina bajeti yake na fungu la bunge huwa haliingiliwi na serikali. By the way, hakuna hata mbunge mmoja aliyelalamika kwa kukosa posho
pumbafu mkubwa unatutapeli unadhani sisi tupo kwa ajili ya book saba kitu gani ambacho hakipangiwi budget na kutekelezwa hakitekelezwi acha hizo wewe
 
Back
Top Bottom