RUKIA MBONDE
Member
- Mar 7, 2019
- 64
- 50
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema watu wenye ualbino wataanza kupatiwa mafuta ya kuzuia miale ya jua bure, kutoka katika hospitali za mkoa na wilaya kote nchini. Ameyazungumza hayo akiwa katika utoaji tuzo za I CAN zilizo andaliwa na Taasisi ya Dr. REGNALD MENGI kwa watu wenye ulemavu akiwa jijini Dar es Salaam.