Serikali ya Uingereza kupiga marufuku vapes ili kuzuia kutumiwa na Watoto

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,462
Vepes.JPG
Serikali ya Uingereza inatarajia kupiga marufuku matumizi ya Sigara za Kielektroniki ikiwa ni sehemu ya mipango ya kukabiliana na ongezeko la matumizi makubwa ya vijana katika uvutaji huo.

Takwimu za Shirika la kutoa Misaada la Action on Smoking and Health (Ash) limeema 7.6% ya Watoto wenye umri wa miaka 11 hadi 17 ni watumiaji wa mara kwa mara wa vifaa hivyo, takwimu ikiwa imepanda kutoka 4.1% ilivyokuwa Mwaka 2020.

Waziri Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak anatarajiwa kutoa tangazo hilo leo Januari 29, 2024.

Hatua hiyo inafuatia baada ya kutolewa kwa muongozo wa kutowauzia sigara wote ambao walizaliwa kuanzia Januari Mosi, 2009 ili kitengeneza kizazi kisichovuta sigara.

Mvuke wa Vapes hauna madhara makubwa kama ilivyo uvutaji wa sigara lakini inaelezwa unaweza kutoa kiasi kidogo cha kemikali zinazopatikana katika sigara.

================

UK government to ban disposable vapes to prevent use by children

British Prime Minister Rishi Sunak will announce plans on Monday to ban the sale of disposable vapes to prevent their use by children, and reiterate the government's intention to introduce a law preventing younger generations from buying tobacco.

Under the new powers, there would be restrictions on vape flavours, a requirement for plain packaging, and changes to how vapes, or e-cigarettes, are displayed to make them less attractive to children.

"Alongside our commitment to stop children who turn 15 this year or younger from ever legally being sold cigarettes, these changes will leave a lasting legacy by protecting our children’s health for the long term," Sunak said in a statement.

Smoking is Britain's biggest preventable killer, causing one out of four cancer-related deaths, or some 80,000 a year, the government says. In October, Sunak announced plans to pass a law which would mean that anyone born on or after Jan. 1, 2009, would be unable to buy tobacco in their lifetime.

While vapes are seen as key to helping people quit smoking, there has been concern they could be driving nicotine addiction among young people, with 9% of 11- to 15-year-olds now using them, the government said.

The World Health Organization (WHO) said in December all vape flavours should be banned.

However, industry groups and the UK Vaping Industry Association argue that vapes pose significantly lower health risks than tobacco, and flavours were key in encouraging smokers to switch.

Source: Reuters
 
Back
Top Bottom