Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,552
- 6,071
Naona ulishindwa kuvumilia hadi ukaamua kushusha matusi kwenye PM?
Anyway, maneno yote nimeyaweka wazi kwenye thread mpya ili watu waone kuwa kumbe ukishindwa kwa point unaanza viroja.
Nilikuwa nadhani unajua kupigana kwa hoja, kumbe ................. Endelea kuchekacheka tu kijana.
Anyway, maneno yote nimeyaweka wazi kwenye thread mpya ili watu waone kuwa kumbe ukishindwa kwa point unaanza viroja.
Nilikuwa nadhani unajua kupigana kwa hoja, kumbe ................. Endelea kuchekacheka tu kijana.
Naona kipere kinakuwasha, wewe ni nani humu JF unataka kuwapigia watu vitu vya kusema hizo ni akili za kunguru, hicho kwa kwangu ni kicheko..
Siwezi kuacha kucheka huu upuuzi eti uchumi wa Tanzania umeshuka sababu ya Gaddafi..nacheka tena..Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!