GE2025 Serikali ya Tanzania inavyokiuka mkataba wa Geneva

GE2025 Serikali ya Tanzania inavyokiuka mkataba wa Geneva

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,946
Reaction score
38,656
Nimekuwa naenda mahakamani kufuatilia kesi ya Jamhuri (Samia) v/s Tundu Lisu.
Pamoja na mambo memgine, tumeona wingi wa askari polisi na wanausalama eneo lote la katikati ya jiji kuzunguka Mahakama Kuu, lakini jambo lililonistua ni uwepo wa Ambulance ambazo madereva na wahudumu ni askari polisi tena wakiwa katika sare zao.

Je, mchezo huu unaofanywa na polisi unaendana na mkataba wa Geneva kuhusu huduma ya afya kwenye operesheni za kijeshi?

Tunajuaje endapo hizo Ambulance zinatumkwa na polisi kuwaondoa majeruhi wanaotokana na ukatili wao na kwenda kuwamaliza huko mbele?

Hivi, Msalaba Mwekundu na Green Cressent wamegoma kuwepo eneo la matukio ya hao mapolisi dhidi ya raia?
 
Ukituliza akili kwa lengo la kutafakari utagundua kuwa hii kesi inayoendela kwa sasa ni kama Polisi dhidi ya Jamuhuri na si Jamuhuri dhidi ya Tundu Lisu.

Maana yake polisi inatushataki wananchi kwa kupitia Tundu Lisu na kitu kinachonifanya niamini hivyo kwa sababu inakuwaje mimi Mwananchi nizuiwe kwenda mahakamani wakati ndiye niliyeshtaki?
Hata ndani ya mahakama wanajazana wao polisi hawataki raia washuhudie nini kinachoendelea mahakamani sasa kwa hali hii linafikirisha na kutia mashaka ya kuamini kwamba je hii kesi ni kweli Jamhuri ndiyo inayomshitaki Lisu au Polisi wakishirikiana na mahakama ndio wanaomshitaki?
 
Nimekuwa naenda mahakamani kufuatilia kesi ya Jamhuri (Samia) v/s Tundu Lisu.
Pamoja na mambo memgine, tumeona wingi wa askari polisi na wanausalama eneo lote la katikati ya jiji kuzunguka Mahakama Kuu, lakini jambo lililonistua ni uwepo wa Ambulance ambazo madereva na wahudumu ni askari polisi tena wakiwa katika sare zao.

Je, mchezo huu unaofanywa na polisi unaendana na mkataba wa Geneva kuhusu huduma ya afya kwenye operesheni za kijeshi?

Tunajuaje endapo hizo Ambulance zinatumkwa na polisi kuwaondoa majeruhi wanaotokana na ukatili wao na kwenda kuwamaliza huko mbele?

Hivi, Msalaba Mwekundu na Green Cressent wamegoma kuwepo eneo la matukio ya hao mapolisi dhidi ya raia?
Huku tuna mkataba wetu wa "Tumia Busara"
 
Nilishangaa mwanasheria wa serikali anakwambi na wao pia binadamu wanaweza kukosea.
Ndio maana mahaka zinahukumu watu ovyo sana kimakosa
 
Nilishangaa mwanasheria wa serikali anakwambi na wao pia binadamu wanaweza kukosea.
Ndio maana mahaka zinahukumu watu ovyo sana kimakosa
Sasa kama ana ona hivyo lwao kwa nini hawaoni kwa mshitaki wao. Hizi kenge damu inakaribia kutoka.
 
Back
Top Bottom