Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,072
That means nothing. We unafikiri kumiliki club ya mpira ndo kuongoza kiuchumi? Levels za maendeleo walizofikia wazungu waarabu badoooo sanaaaaaaaaaaaaa! System zao za uongozi ni za ovyo sana hela nyingi ziko mikononi mwa wachache.Pia wewe mwarab kwa pesa unamjua unamskia...
Vilabu vyote vya soka vya uingereza hv punde vinaelekea kuwa chini ya mwarab stay tuned.