Tokyo40
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,065
- 1,924
Serikali ya Saudi Arabia imejenga hoteli kubwa kuliko zote duniani hapo Makka.
Inategemea kufunguliwa rasmi mwakani, 2017.
Vyumba: 10,000
Tower: 12 , kila moja ina ghorofa 45
Hoteli za kula : 70
Sehemu ya kushuka helicopter: 5
Tower 10: zitatowa 4 star service
Tower 2: zitatowa 5 star service kwa wageni maalum.
Gharama : US$ 3.5 billion
Ghorofa kwa ajili ya familia ya Kifalme ya Saudi Arabia tu : 5
Floor Area yote : 1.4 million square meters
Bei za vyumba: Hazijapangwa
Hotel Abraj Kudai
Inategemea kufunguliwa rasmi mwakani, 2017.
Vyumba: 10,000
Tower: 12 , kila moja ina ghorofa 45
Hoteli za kula : 70
Sehemu ya kushuka helicopter: 5
Tower 10: zitatowa 4 star service
Tower 2: zitatowa 5 star service kwa wageni maalum.
Gharama : US$ 3.5 billion
Ghorofa kwa ajili ya familia ya Kifalme ya Saudi Arabia tu : 5
Floor Area yote : 1.4 million square meters
Bei za vyumba: Hazijapangwa
Hotel Abraj Kudai