Ronaldo na kufuru yake nchini Saudi Arabia

Imeloa

JF-Expert Member
Jan 28, 2013
12,902
15,331
Cristiano Ronaldo, familia yake pamoja na wapambe wake wataishi kwenye hoteli moja balaa sana nchini Saudi Arabia ambapo watamiliki jumla ya vyumba 17 na watakuwa wakizilipia jumla ya dola za kimarekani 300,000 kwa mwezi sawa na zaidi ya shilingi milioni 650 za kitanzania kwa mwezi.

Sasa jamaa anapiga hela hivyo halafu eti ndio wengine wanamwambia astaafu mpira eti aache hizi hela za bwerere.

=======

Inside Cristiano Ronaldo's $300k a month hotel home in Saudi Arabia - Arabian Business​

Cristiano Ronaldo is staying in a lavish suite at the Four Seasons Riyadh following his move to Al Nassr in the Saudi pro football league.

Ronaldo was unveiled by his new club at a glittering ceremony in Riyadh last week after signing a $214m a year contract.

Despite being banned for the first two games, Ronaldo is settling in to his new life in Saudi Arabia and has booked himself and family into suites at the Four Seasons Riyadh hotel, reports the Daily Mail.

four-seasons-riyadh-1-1024x768.jpg


The Four Seasons Riyadh is housed inside one of Saudi Arabia’s most recognisable buildings, the 302m Kingdom Centre building.

Ronaldo in Saudi Arabia​

The Four Seasons Riyadh is housed inside one of Saudi Arabia’s most recognisable buildings, the 302m Kingdom Centre building.

According to the Daily Mail report Cristiano Ronaldo and his entourage, made up of family, friends and staff, will take 17 rooms at the property. The total cost is estimated at more than $300,000 a month.

Chief among the accommodations is the two-storey Kingdom Suite occupied by Cristiano Ronaldo and his partner Georgina Rodriguez.

four-seasons-riyadh-2-1024x575.jpg

The Four Seasons Riyadh Kingdom Suite

Describing the deluxe Kingdom suite on its website, Four Seasons says: “Entertain guests with unparalleled views of Riyadh.

“Our newest two-storey suite spans the 48th and 50th floors of the hotel, with a soaring living room, a private office, a dining room and a media room.”

Prices for the largest suites in the Four Seasons Riyadh are not listed on the hotel website, but it is estimated the bill for Ronaldo and his entire entourage will top $300,000 a month.

four-seasons-riyadh-4-1024x576.jpg

The football icon and his family are checked in until they are able to find a private residence while playing for Al Nassr.

With a contract until 2025 Ronaldo will settle into life in Saudi Arabia and witness culture and work in the Kingdom.
Staff at the hotel are under strict instructions not to intrude on the star footballer’s private life.

Since arriving in Riyadh he has yet to play a minute of football, but has been spotted posing for photos with fans at the upmarket Miyazo Japanese restaurant.
 
Cristiano Ronaldo, familia yake pamoja na wapambe wake wataishi kwenye hoteli moja balaa sana nchini Saudi Arabia ambapo watamiliki jumla ya vyumba 17 na watakuwa wakizilipia jumla ya dola za kimarekani 300,000 kwa mwezi sawa na zaidi ya shilingi milioni 650 za kitanzania kwa mwezi.

Sasa jamaa anapiga hela hivyo halafu eti ndio wengine wanamwambia astaafu mpira eti aache hizi hela za bwerere.

Hizo hela atakuwa analipa yeye au atakuwa analipiwa na team yake?
 
Back
Top Bottom