Serikali ya Rwanda imeapa kutowafukuza Watanzania!

MWILI NYUMBA



Hapa ndipo tunapotofautiana katika kujenga na kujadili hoja.

kwa ujumla wake tunajadili usalama wa watanzania na mstakabali wa amani kwa taifa letu.

-madawa ya kulevya yanatihia uhai, amani na usalama wa taifa letu

-Huduma duni za afya zinatishia uhai, amani na usalama wa taifa letu

-Siasa chafu za majungu na propaganda zinatishia uhai, amani na usalama wa taifa letu (mwigulu, kinana, nape, pinda nk

-Uhusiona na ushrikiano mbovu na mataifa jirani zetu unatishia amani ........(malawi, kenya, rwanda.......

-Wezi na matapeli wa raslimali zetu, wanyama, madini na ardhi ni tishio pia. (mikataba feki, tozo za ovyo za kodi kwenye vitalu na kampuni za madini nk

Sasa kwa mtazamo wako na kwa propaganda zenu kagame ndiyo tishio kubwa kabisa kwa uhai, amani na ustawi wa taifa letu kuliko

madawa ya kulevya, afya duni, siasa za visasi na unafiki, nk? hata siwaelewi mnajadili nini hasa maana hamjuwi lengo haswa la mnachokitetea


Wewe na nani unaongelea hiyo hoja hapo kwenye Bold?? Mimi naongelea hoja hii "Re: Serikali ya Rwanda imeapa kutowafukuza Watanzania!" na nawashangaa wanaoishutumu Tanzania kuwaondoa wahamiaji haramu wakifananisha na mada hii kuwa watanzania wanaoishi kihalali Rwanda kutokufukuzwa, utafikiri sisi tunawafukuza wanyarwanda wote ambao wapo nchini.



Hii hoja yako ifungulie thread tutakuja kukujuza pia. Hivi si watu walikuwa wanasema Rwanda kuna maisha mazuri mara Kagame anawathamini raia wake sasa kinachowafanya nyie mngang'anie kwa watu tena bila vibali vya ukazi ni nini??
 
Why should anyone live illegally to any country and then expect mercy?
It was not the duty of the Tanzanian Government to consult Rwanda Government about the expulsion of illegal immigrants. I think it is the duty of every country to educate her citizens regarding immigration laws.

It is unwise to stay in any country without proper documents and authorization.... beware!!!
 
Why should anyone live illegally to any country and then expect mercy?
It was not the duty of the Tanzanian Government to consult Rwanda Government about the expulsion of illegal immigrants. I think it is the duty of every country to educate her citizens regarding immigration laws.

It is unwise to stay in any country without proper documents and authorization.... beware!!!

You have nailed it, many thanks.
 
Awali niliwahi kusema Kagame ni propagandist mzuri sana anayeweza kugeuza nyekundu kuwa nyeupe, inavyooneka sasa ni kama Tanzania inawafukuza wanyarwanda wote hata wanaoishi ki halali na itatugharimu kuitangazia dunia kuwa we didn't mean that.

sisi tumetumia kauli za ubabe na vitisho kwa kigezo cha kulinda sheria ya uhamiaji kinyume chake Rwanda pamoja na kuwa na sheria hizo wamekuja na lugha laini kwa watanzania waishio Rwanda, si kwamba hawakuwa na uwezo wa kusema kama tulivyosema sisi ila wanataka kujiweka pahala pazuri mbele ya macho ya mataifa kwa lengo la kutafuta sympathy.

Ingawa nia ya Kikwete ni kuonekana anazitumia vizuri sheria halali za uhamiaji lakini litakapofika kwenye macho ya dunia Tanzania itachukuliwa kama haina huruma kwa binadamu na inaenda against international human rights.
 
Wewe na nani unaongelea hiyo hoja hapo kwenye Bold?

mimi pamoja na wewe nawengi wengine wanaoitakia Tanzania mema na hasa amani mshikamano na umoja.

kwanini unawafukuza wahamiaji haramu? tafuta sababu kisha soma tena lengo la mjadala huu. kama hakuna madhara kwanini wafukuzwe?


Mimi naongelea hoja hii "Re: Serikali ya Rwanda imeapa kutowafukuza Watanzania!" na nawashangaa wanaoishutumu Tanzania kuwaondoa wahamiaji haramu wakifananisha na mada hii kuwa watanzania wanaoishi kihalali Rwanda kutokufukuzwa, utafikiri sisi tunawafukuza wanyarwanda wote ambao wapo nchini.

Tatizo siyo kuwaondoa wahamiaji haramu hasa lakini njia inayotumika siyo sahihi wala ya kibinadamu.

-Ni ya kibaguzi na unyanyasaji, mbona wahindi, wachina na wasomali ambao wanatuibia sana na kutunyonya katika mambo mbalimbali hawachukuliwi hatua hii? Hawalipi kodi sawa sawa, wamejazana NHC, Tembo ndo usiseme wanauwawa ovyo.

-Vipi na kwanini hatua hii ichukuliwe baada ya mzozo wa kikwete na Kagame? kunanini hapa.......kama siyo ghiriba za kikwete kutupotezea tusijadili mambo ya msingi na yanayohatarisha afya na maisha ya mamilioni ya watanzania?

Sababu za msingi kuwaondosha zinaingia hapa kwa ujumla wake tunajadili usalama wa watanzania na mstakabali wa amani kwa taifa letu. Otherwise hujuwi unachokijadili wala malengo ya hoja za kikwete na zako pia hujuwi.


Hivi si watu walikuwa wanasema Rwanda kuna maisha mazuri mara Kagame anawathamini raia wake sasa kinachowafanya nyie mngang'anie kwa watu tena bila vibali vya ukazi ni nini??

Watanzania waleo sio wale wazidumu fikra za mwenyekiti wa ccm, zidum kivipi? hatakama za kinafiki basi mimi niitikie tu kama unavofanya wewe? Mimi ni mtanzania wa asili wala sio wa kuchonga, lakini serikali yangu na rais wanapoacha njia sahihi na kuishi kwa ujanja ujanja siwezi kuwaunga mkono hasa wanaposhindwa kutimiza majukumu yao nakubaki kuzua uwongo na utata wambo dhaifu ya kufikirika ilikutuondoa kwenye mambo ya msingi lazima nipingane anao.

............................................................
 
Why should anyone live illegally to any country and then expect mercy?
It was not the duty of the Tanzanian Government to consult Rwanda Government about the expulsion of illegal immigrants. I think it is the duty of every country to educate her citizens regarding immigration laws.

It is unwise to stay in any country without proper documents and authorization.... beware!!!

No matter what are the reasons for illegal immigrants driving in these countries, Tanzania is more attractive than Rwanda in terms of peace, land and governance. Thus, I think that there are more illegal immigrants from Rwanda in Tanzania than the vice versa. What would attract Tanzanians to live in Rwanda? Dictatorship? Genocide history? Obvious nothing. Only professional Tanzanians can be attracted to live in Rwanda. Thus, I believe that most of the few attracted Tanzanians in Rwanda are operators and engineers/architects of their development in several aspects such as Academic and agriculture.Above all, they meet all immigrant laws because the procedures of get immigrant documents are clear i.e. they do not base on tribe like Tsuti and Hutu in Rwanda.
It should be clearly noted that the operation is for all illegal immigrants from any country (Rwanda, Burundi, DRC, SA, Somalia, Kenya, Uganda, Zambia, Malawi, etc). Why the Rwandan government is considering as a target for this operation? The reason is clear. The recently misbehaviour of their president to Tanzania.
 
The only reason we have so called illegal immigrants is because migration procedures are too restrictive. We praise Kenya,Uganda and Rwanda effort to open up their borders to the common mwananchi.
 
Kwa hiyo hata hao majambazi wanaoiba kila siku Dar ni kutoka nchi jirani tu?Hwao wanarusha mabomu na kumwagia watu tindikali ni wahamiaji haramu? Hivi waliowaua wale wafanyabishara wa Mahenge walikuwa ni wahamiaji haramu? Na vipi polisi, magereza na JWTZ wanaokamatwa na nyara za serikali?

Ulitaka iwaje? waachwe kwa sababu ya hao uliowataja? Hizo sehemu ulizotaja, je watu wanasafiri kwa kusindikizwa na polisi kama ilivyo Kigoma? Jifunze kulinganisha matukio katika sehemu sahihi. Kama hujui kitu basi jaribu hata kufanya research ndogo tu ili uweze kujiridhisha. Hujui chochote kuhusu hali ya Kigoma na Kagera hivyo ni vyema ungebaki kuwa msomaji ili walau upate kujifunza kitu.
 
Kikwete hajafukuza Wanyarwanda, na hata ukisikiliza kwa makini speech yake aliyotoa mkoani Kagera hakujata jina la Taifa lolote lile. Alichosema ni kwa wahamiajia 'haramu' waondoke ndani ya ardhi ya Tanzania. Wahamiaji haramu. Kwa nini Wanyarwanda wanapiga kelele? Mbona hatusikii watu wa Burundi nao wanalalamika?

Kagera na mikoa mingine ya ukanda huo kumekuwa kama uwanja wa mazoezi wa wahamiaji haramu, katika hali hiyo nini jukumu la serikali ya Tanzania kwa watu wa Kegera na mikoa jirani? Kauli kwamba Rwanda haitawafukuza Watanzania ni usanii. Kama kuna mhamiaji haramu ndani ya Rwanda, basi serikali ya Rwanda inayojukumu la kumuondoa huyo mhamiaji haramu, na sio hizi simulizi za Manenge na Mandawa!

Rais Kagame alitakiwa ajue mapema kabla ya kurusha jiwe akiwa kwenye nyumba ya kioo. Alipotoa tishio la kumpiga rais wa Tanzania maana yake ametishia 'DOLA' ya Tanzania. Kikwete hakwenda Addis Ababa kama mkulima wa mboga mboga, na wala hakutoa ushauri kama mtu wa kawaida. Alikuwa Addis na alitoa ushauri kwa nchi jirani kama rais wa nchi huru yenye mamalaka kamili ndani ya mipaka yake na pia yenye kuwajibika katika Jumuiya za kimataifa.

Kichekesho ni pale watu wanakimbilia mwamvuli wa kuungana kwa nchi za Afrika Mashariki! Kwani wakati Kagame anajitangazia ubondia hawa watu hawakukumbuka huo umoja? Media za Rwanda zilikuwa busy kumtukana Kikwete, mbona hawakujikita kwenye umoja wa Afrika Mashariki. Sasa Kikwete kawaonesha tofauti ya fundi na kibarau wanakimbilia umoja wa Afrika Mashariki.

Mtajifunza tu!
 
Nadhani hujanielewa. Tanzania tuna Wanyarwanda wengi wanaoishi hapa kihalali, nenda arusha utawakuta wengi wanafanya kazi ICTR, EAC pamoja na mashirika mengine ya nenda Dar nenda Mwanza utakuta wapo wengi na wameingia kihalali na wanafanya shughuli zao bila bughudha. Utakuwa ni uenda wazimu kama Rwanda itachukulia sisi kuwafukuza watu wamekuja na mifugo wanafuga, wengine wamepita maporini wanakaa na kufanya kazi ya vibarua kwenye mashamba, wengine wamekuja kama wakimbizi wasijiandikishe kama wakimbizi, wengine wamekuja kama majambazi wanavamia mabasi na magari na kuteka na kua watu eti kisa tunakuza mahusiano. Walipewa muda waondoke na wengi kweli wameondoka, je wasioondoka unataka serikali ifanye nini Nicolas?
Hapa hatuongelei chama sijui CCM au Chadema kwa sababu wanaohadhirika ni wanachama wa vyama vyote si CCM wala Chadema na huna haja kuingiza swala ili kiitikadi bali nchi na madhira inayopata kutokana na watu hawa. Haijalishi umewekeza kiasi gani, umeoa sijui nani, hiyo haiwezi kuwa kinga kuhalalisha kwako kuishi hapa nchini kama hujataka kuchukua njia ya halali.
Ndugu Nicolas huo ndio uhalisia kama unataka kuangalia hivyo. Labda hujawahi kukaa maeneo hayo yaliyoadhiriwa na watu hawa, huwezi kupita pori la Kimisi na Biharamulo bila kusindikizwa na police na pengine pamoja na kisindikizwa bado mnatekwa, watu kila siku majumba ya watu yanavamiwa na watu kuibiwa na pengine kuuawa, angalia makundi ya mifugo uko Karagwe na Ngara utajua naongelea nini. Kuna Hifadhi ya taifa Burigi wanaua wanyama amabo ni nyara na utajiri wa taifa. Wewe Nicolas bado unawaona kukaa kwao ni sawa kisa kuogopa husilaumiwe kimataifa. ebu kuwa mkweli au labda utwambie una ndugu ambao wamehadhiriwa na kurudishwa makwao

Issue ni kwamba itakavyowafikia mataifa ni tofauti sana..hukumbuki lile zoezi la kuwarudisha wakimbizi lilivyoleta shida?sasa itakuweje wa walioishi na kuzaa watoto w amiaka zaidi ya 20?

Hembu tuangaie mamabo kiuhasilia ili tuyape majibu sahihi, haya mamabo ya kubalance ili CDM wasihoji utendaji wa haya mazoezi ni ujinga mtupu.Nani hapendi nchi yake?Ila mkifanya precess kipuuzi hadi iwe liability zaidi ya profit ni hatari hata kwa watuw asiohusika.

Yule kiongozi wa CCM aliyetangaza wazi kakosea sana,kwani serikali itaonekana imeweka huo mpango, wangelitoa kauli ya kuwalenga raia haramu,halafu pawe na space wao wajichachaganue wenyewe, waliobaki ndio njia za uani zitumike.
 
Ni kweli hatutetei watu kukaa kinyume cha sheria nchini kwetu, lakini ukizingatia hali ya mahusiano kati ya Rwanda na Tanzania ilivyo sasa hivi, utekelezaji wa huu uamuzi huenda ukatafsiriwa na kuchukuliwa kwa muonekano tofauti. Hoja ya kuishirikisha Rwanda kwenye kuwaondoa raia wa nchi yao ingekua na tija zaidi.
Laiti mngekuwa mnaishi mikoa ya kagera, geita na kigoma mkaona jinsi watanzania wanavyosumbilwa na majambazi msingeyasema haya ya kuwaonea huruma hawa wahamiaji haramu. huwezi kuamini hali hii lakini ukweli ni kwamba ikishafika saa tisa huwezi ukatoka kahama kuelekea kibondo kisa eti hapo njiani kuna majambazi! ukifika Nyakanazi polisi wanakusimamisha mpaka kesho...hii ni ndani ya nchi ya tanzania...kwa mimi ambaye naihi huku nana waondoke tu maana hali ya usalama kwa wakazi mwa mikoa hii ilikuwa imeshakuwa mbaya mno...suala la gari kutekwa ena na majambazi yenye mabomu ya kurusha kwa mikono ni la kawaida sana huku mikoa ya kagera, geita na kigoma...unadhani jk angefanya nini? fukuza kwanza ten imarisha ulinzi...
 
Tanzanians who live or travel to Rwanda should do so freely and comfortably with no fear of persecution, Foreign Affairs Minister Louise Mushikiwabo has emphasised amidst the ongoing expulsion of Rwandans from Western Tanzania.

Speaking at a news conference in Kigali yesterday, the minister said that recent pronouncement of Tanzanian President Jakaya Kikwete regarding negotiations with DRC-based FDLR militia, will not disrupt strong ties between Rwandans and Tanzanians.

“Not only are we neighbours, we have strong ties among our people, we have blood ties, we have business ties, and we have a lot that brings us together,” Mushikiwabo said, also taking the opportunity to welcome Tanzanians in Rwanda.

“They can live here for as long as they wish. We consider them our own people in the East African Community.”

Mushikiwabo is also the government spokesperson.

The suggestion made by Tanzanian President Jakaya Kikwete in May this year that the Rwandan government negotiate with the FDLR sparked outrage in Rwanda.

The FDLR, whose French acronym means the Democratic Forces for the Liberation of Rwanda, is made up of members who are largely responsible for the 1994 Genocide against the Tutsi in which over a million people died in a three-month slaughter campaign.

The group, which the UN has also branded a terrorist organisation, has been involved in creating instability in eastern Congo. The group has been involved in a spate of attacks in Rwanda including a grenade attack last month that killed three people and injured dozens.

Mushikiwabo said that Rwanda’s policy towards the militia has always been clear and is not about to change, a statement she made several times at the news conference, urging whoever suggests that Rwanda should engage FDLR in negotiations to forget about it.

“When you are associated with genocide, you should be an enemy of everybody,” she said, also explaining that “there should be clarity about why Rwandans are unhappy” when it comes to any ideas that recommend talking to the FDLR.

Expelled Rwandans

Meanwhile, Mushikiwabo said that the government will receive and protect Rwandans who are being expelled from Tanzania based on claims that they are illegal immigrants. She noted that it was regrettable that Tanzania did not consult Rwanda before kicking them out.

“There was a decision made, we were not consulted and our obligation as a state and as a government is to offer protection to the people coming to us and that’s what we have been busy doing,” she said.

Rwandan families, including those who have lived in Tanzania since the 1950s, have for the past three days been arriving through Rusumo border after President Kikwete instructed local officials to give only two weeks to the so called “illegal” immigrants to leave the Kagera Region, which shares borders with Rwanda.

The New Times’ Bureau Chief in the Eastern Province, Stephen Rwembeho, said that some Tanzanians of Rwandan origin have also arrived in Rwanda after their citizenship and other residential documents were torn up and destroyed by local officials in Tanzania.

The Ministry of Disaster Management and Refugee Affairs (MIDMAR), in conjunction with Kirehe District authorities have begun preparations to settle the expelled Rwandans. By press time, nearly 300 had registered with Rwandan Immigration officials.

Extradition of M23 commanders

Updating journalists on how Rwanda is handling DRC’s request for the extradition of former M23 commanders who are on Rwandan territory, Mushikiwabo said that it is not unusual that there is a long process before decisions on extradition requests are made.

Rwanda has already requested the DRC government to send documents containing records of suspects, their charges and evidence against them, as well as legal references forming the basis of prosecution of each suspect.

The Congolese government has asked Rwanda to extradite the former political leader of M23 Jean-Marie Runiga and former military commanders Baudouin Ngaruye, Eric Badege and Innocent Zimurinda, so that they can face prosecution back home.

“It is a process. Don’t just think that Rwanda would immediately put someone on a plane and send them back upon receiving the request,” Mushikiwabo told reporters. She also pointed out that Rwanda does not extradite suspects to countries that have the death penalty.

The fighters crossed into the country in March to escape divisions in M23 group and are currently interned in a temporary facility as required by international laws applicable to persons who have fled armed conflicts.


Comments

Is Expelling Tanzanians of Rwandan origin = Drive outs of Indians in Uganda by Idi Amini Dada? or not. I think a neighbor is worth than a friend or a relative. Our Politicians should think twice or more.

comment-37f.png
09:29:16 Friday 09th, August 2013 NYAMIRAMBO - RUTA
Reply | Close


While HE Kikwete came recently and will be gone tomorrow, Tanzania(ns) and Rwanda(ns) have always been and will hopefully always be. This stand of the Rwanda government I believe is based on this premise.
My humble advice to HIM (JMK) is to cease separating families no matter who or what he is trying to please or appease. The woman who was rudely separated from husband and children can cause such calamity as the whole of TZ can regret for a very long time.
It is from such issues that national curses originate from. Elders and religious leaders here have a task of cautioning HE JMK who may not be well versed in matters of history and/or tradition that his actions can cause unbearable consequences.
HE should also be cautioned to desist from liaison with FDLR. None has ever dined with interahamwe and lived to tell the tale. Mobutu, Kabila, Mitterrand, Obote.....they all died horribly and their descendants are paying dearly with overburdened consciences.
Desist JMK and retire honourably as your predecessors.

comment-37f.png
10:09:49 Friday 09th, August 2013 Kacyiru - Kennedy Maridadi
Reply | Close


Let me tell you two things: 1)If those people expelled from Tanzania are real and genuine Rwandans, then let us Welcome them back home. "Ahatari iwanyu si iwanyu" .2)We should however draw a lesson from what is happening now; and that is: People in the EAC member states are being told lies (by their officials) about integration. Facts are there to tell us the truth.

comment-37f.png
10:40:55 Friday 09th, August 2013 Kigali - John
Reply | Close


from the word go, Tanzanians were not ready for the integration. I now see the reason there was a meeting among three heads of state out of 5 in the EAC. The meeting was only for those who see positive results in the integration (the fast movers) while others are still held in inconsequential plans of expelling a common man from undeveloped jungles of Karagwe

comment-37f.png
11:47:59 Friday 09th, August 2013 Kigali - Seth
Reply | Close


The DRC government is just being run by jokers. The various international laws and protocols bar Rwanda from refouling individuals to countries where they might face torture and degrading treatment.
Going by the fate of the Kinyarwanda speaking FADRC and the captured M23 soldiers by the DRC government troops and their acolytes, there is no doubt that the latter is a torturous government. It would thus be pertinent for the Rwandan government not to hand over the renegade M23 officials under their custody to the DRC government.

comment-37f.png
12:43:53 Friday 09th, August 2013 United Kingdom - Moses Wamba


SOURCE; THE NEW TIME
Why crying.....? I don't find any reason behind a parent who is crying when his/her son/daughter is told to go back to him/her from a person who was giving him /her a voluntary ( not mandatory ) support..! The GOVT of Rwanda should not be CRYING to attract sympathy from International Community instead should be happy with them,welcome and strongly warn them against living in the land of others without proper documentation. By the-way, it has to be noted that the issue here is ILLEGAL IMMIGRANTS which is the case to any other country including Rwanda I don't think if in Rwanda they allow people to just enter and live without proper immigration procedures. What they are doing is nothing than misleading the public by trying to create ernemity between the citizens of Tanzania and their President by saying that they have no problem with Tanzanians but Kikwete himself. IS KIKWETE NOT TANZANIAN...? What pointless argument is this which comes from the so called MINISTER....!
 
hao wa rwanda n burubdi wameharibu sana amani ya kagera na kigoma, huku huwezi kusafiri mpaka usindikizwe na polisi, hii ni halali? let them go!...huko mtwara waliko wahamiaji kutoka msumbiji mbona pako shwari? n wao kama wakianza ujambazi, tunawafuku warudi kwao! fullstop!
idawa; Mkuu sikatai kwamba walioambiwa waondoke ni wahamiaji haramu lakini mbona hatusikii kuhusu Wakenya,Waganda,Watu kutoka Msumbiji n.k Au wahamiaji haramu kutoka nchi hizo ni wachache sana au hawapo? Lakini pia, tunatuma ujumbe gani kwa Watanzania waliohamia Msumbiji kwenye machimbo kinyume cha sheria na nchi nyinginezo maana hakuna linalopenda wahamiaji haramu wanaopokonya fursa za wenyeji.Je, mazungumzo ya kidiplomasia kuhusu kuwarejesha makwao wahamamiaji harama na kwa njia maalumu isingeijengea heshima Tanzania kuliko ilivyofanyika?
 
I think RUSHASHA did not meant to argue with you rather to want you all who are living illegally in Tanzania to leave peacefully the country before being forced to do so.

C'mon give me a break. That is a lot of bullshit. If your president wants wahamiaji haramu, hapo magogoni kwenye hizo flats kumejaa wahamiaji haramu wengi tu of which he has no balls to kick them out. Double standards. Wasomali kariakoo wamejaa tele but you have no balls to kick them out. Lakini amepanda ndege akaenda 1,300km ndiko ameona wahamiaji haramu ambao wanafaa kufukuzwa na kunyang'anywa mali zao. You know even if you seize all the cows and property it will not make you rich. Unajua utajiri sio mali za wizi utajiri is all in your head. You can steal from these naturalized tanzanians but wherever they will go they will be Ok.
 
murutongore,

..WOW, after throwing so much INSULTS to Tanzanians now u come back with sweet diplomatic language!?

..First, it is not the case that the government has revoked the citizenship of Tanzanians who happen to be of Rwandan origin.

..If that was the case those wananchis have all the rights to sue their government, and we know in such cases our system works.

..Second, the proper procedure was to arrest all illegal immigrants before they r sent to their respective countries, instead the government has given them a long enough notice for all "wahamiaji haramu" to leave our country VOLUNTARILY.

cc Kobello

Jokakuu i'm one not to throw insult to tanzania. Only to Rushasha because from my experience, he is probably a rwandese with interahamwe traits or interahamwe. What you don't know is that there are many interahamwe there in tanzania. Not as many as in Congo but they are there and unlike the tutsi, these you cannot pinpoint them but they are there amongst you. They have seized these recent spats between Rwanda and Tanzania and they want to take advantage of this to attack Rwanda. What I can assure Rushasha and Co. is the that will never happen again. NEVER.
 
As time goes we need to be tougher to this so called Kagame gvt by sending home Rwanda Ambassador and bring back home our own Ambassador.

This kind of propaganda is not acceptable;



First this.





Second;
Meanwhile, Mushikiwabo said that the government will receive and protect Rwandans who are being expelled from Tanzania based on claims that they are illegal immigrants. She noted that it was regrettable that Tanzania did not consult Rwanda before kicking them out.
If they are official Immigrants why they don’t show/don’t have legal document for their Citizen statutes from Tanzania?


Really do we need permission/consultation from Rwanda for illegal immigrants? I think She should have praise Jk for not taking legal action right away at least they have 14 days to do voluntary move.

 
Nadhani ukiwa chini ya ulinzi suala mke na mme katika haki yao ya kuwa pamoja huwa halina mashiko tena!
 
Back
Top Bottom